GE2025 Inawezekana CCM haikuwa Makini katika kuteuwa Wagombea ubunge baada ya Kura za Awali

GE2025 Inawezekana CCM haikuwa Makini katika kuteuwa Wagombea ubunge baada ya Kura za Awali

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025
Kumpitisha mshindi wa tatu kwenye primaries na kumwacha mshidni wa kwanza linaweza kuwa ni siyo tu kutokuheshimu demokrasia na maoni ya wananchi bali pia ni dalili ya udikiteta. Kuna majimbo ambao CCM inaweza kukosa kwa mfano Tarime Mjini, Tanga mjini na kwingineko


View: https://www.youtube.com/watch?v=SpHCTAw5xJw


View: https://www.youtube.com/watch?v=JFYTZch_C2w

Sema CCM imebweteka kwa kukosekana CHADEMA maana hivi vingine ni vyama shikizi vya CCM. Hivi unafikri kama CHADEMA ingekuwa kwenye ulingo wangefanya ujinga huu?
 
Hakuna udikteta hao hso wajumbe wa mikoani walipiga kura kuipa mamlaka kamati kuu kufanya hivyo

Hakuna sheria iliyo vunjwa naweka sawa kumbu kumbu
 
Kura za maoni - haya ni maoni Kama ambavyo unaweza kutoa maoni popote pale .
 
Najaribu kuvaa viatu kwenye kura za maoni kwenye jimbo langu nimeongoza kwa kupata kura 7000, wa pili kapata kura 2000 na wa tatu kapata kura 500 then from no where nawekwa pembeni yule mwenye kura 500 anapewa nafasi ya kupeperusha bendera. Nitafanya vyovyote hii dunia pasikalike kiumbe chochote pabaki empty kumeh mae.
 
Kura za maoni - haya ni maoni Kama ambavyo unaweza kutoa maoni popote pale .

Hakuna udikteta hao hso wajumbe wa mikoani walipiga kura kuipa mamlaka kamati kuu kufanya hivyo

Hakuna sheria iliyo vunjwa naweka sawa kumbu kumbu
Inawezekana hujui maana halisi ya dictatoriship: ni utawala unaotana na mtu mmoja au kikundi kidogo cha watu. Ni tofauti na democracit systsme ambao ni utawala unaotokana na raia wengi.

Kama kamati kuu ya CCM ilikuwa inajua watu wake wa kuteua, hakukuwa na haja ya kuwarudishia wanachi wapige kura ikiwa ni kupoteza muda wa raia bure.
 
"kamati kuu itakavyoona inafaa,yaweza kuamua vinginevyo"

Mabadiliko ya katiba ya ccm yamewapa meno kamati kuu kuamua ionavyo ni sawa!!
 
Inawezekana hujui maana halisi ya dictatoriship: ni utawala unaotana na mtu mmoja au kikundi kidogo cha watu. Ni tofauti na democracit systsme ambao ni utawala unaotokana na raia wengi.

Kama kamati kuu ya CCM ilikuwa inajua watu wake wa kuteua, hakukuwa na haja ya kuwarudishia wanachi wapige kura ikiwa ni kupoteza muda wa raia bure.
Wewe nawe ni mkongwe hapa tena msomi mwenye exposure nzuri tu lakini unajitoa ufahamu utadhani hujui kinachoendelea Tanzania. CCM inategemea kupigiwa kura na wananchi? Wao wana uhakika wakiteua mtu yoyote wanaweza kumpitisha kuwa mbunge kwa nguvu. Na hiki ndicho kinachofanya tunakuwa na viongozi wezi, wavivu na wasiojali nchi au wananchi. Tanzania hakuna uchaguzi bali kuna maigizo yanayotumia fedha za wananchi bila faida.
 
CCM imekuwa chama cha udikteta hakuna democracy tena, na hakuna haja ya mchakato wa kura za maoni
Mimi sina chama lakini walichofanyiwa kina Ummy Mwl na wale wa bunda na Tarime, siyo fair kabisa bora wangewaweka watu wao mapema kabla hawajatumia gharama zao, mtu katumia 600M then anakatwa jina na watu wasiozidi 20,, na huyo mtu kachaguliwa na wajumbe 700

Tupate kariba mpya ili tupate mgombea binafsi, Independent Candidate

Ccm ni laana kubwa kwa maendele ya nchi hii, Mungu tuepushe na mafisadi na madikteta haya!!!
 
Inawezekana hujui maana halisi ya dictatoriship: ni utawala unaotana na mtu mmoja au kikundi kidogo cha watu. Ni tofauti na democracit systsme ambao ni utawala unaotokana na raia wengi.

Kama kamati kuu ya CCM ilikuwa inajua watu wake wa kuteua, hakukuwa na haja ya kuwarudishia wanachi wapige kura ikiwa ni kupoteza muda wa raia bure.
Kushiriki kupitisha sheria mbaya ni demokrasia
 
CCM imekuwa chama cha udikteta hakuna democracy tena, na hakuna haja ya mchakato wa kura za maoni
Mimi sina chama lakini walichofanyiwa kina Ummy Mwl na wale wa bunda na Tarime, siyo fair kabisa bora wangewaweka watu wao mapema kabla hawajatumia gharama zao, mtu katumia 600M then anakatwa jina na watu wasiozidi 20,, na huyo mtu kachaguliwa na wajumbe 700

Tupate kariba mpya ili tupate mgombea binafsi, Independent Candidate

Ccm ni laana kubwa kwa maendele ya nchi hii, Mungu tuepushe na mafisadi na madikteta haya!!!
Mimi ninawashangaa sana watu wa hapa JF siku kanuni zinapigiwa kura hamkujua kitakachotokea?


Hakuna udikteta popote kukatwa ipo kisheria kosa ni la hao hao wajumbe wanaojifanya wana akili kumbe viazi
 
Back
Top Bottom