Inauzunisha sana asee

Inauzunisha sana asee

kelvinlewis

JF-Expert Member
Joined
Jan 8, 2018
Posts
308
Reaction score
207
Kitendo cha mimi kutoka na kwenda south africa na kukaa takriban miez nane na kurud nakuta nimpendaue tayar anayo mimba

Daa aya bana maisha yanaendelea afu bila aibu alipo ckia nimerud akaja mpaka hme bila kuhofia chochote na tumbo lake duu wanawake wengne mpo vzur asee

Ndo basi tena mm na yeye
 
Kula BIA nitalipia mimi.
 
Ulikosea sana Baharia! Kabla ya kusafiri ungemtundika!
 
pole sana mkuu,,,,
tehteh pale alipokuja home
Related image
 
Ulitaka ahofie nini mkuu? Mlikuwa na ahadi yoyote kama pete ya uchumba?
 
Nimpendaue ana hatarii mkuu... alidhani unekufa maana xenophobia hatari sana
 
....kisicho rizikii.... MABAhARIA wa kweli hawalalamiki, nawe tafuta mnyonge wako fanya mamboooo

LADIES all the time needs assurance + love + money huenda ulijisahau kimojawapooo
 
Kitendo cha mimi kutoka na kwenda south africa na kukaa takriban miez nane na kurud nakuta nimpendaue tayar anayo mimba

Daa aya bana maisha yanaendelea afu bila aibu alipo ckia nimerud akaja mpaka hme bila kuhofia chochote na tumbo lake duu wanawake wengne mpo vzur asee

Ndo basi tena mm na yeye
Vp Baharia , unaishi Dar?
 
Kitendo cha mimi kutoka na kwenda south africa na kukaa takriban miez nane na kurud nakuta nimpendaue tayar anayo mimba

Daa aya bana maisha yanaendelea afu bila aibu alipo ckia nimerud akaja mpaka hme bila kuhofia chochote na tumbo lake duu wanawake wengne mpo vzur asee

Ndo basi tena mm na yeye
Mimi nimesha azimia kuto oa. Natafuta binti nipige mimba hata Mungu akinichukua niwe at least nimeacha alama. Nishawaseti mabinti kama watatu hivi
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kitendo cha mimi kutoka na kwenda south africa na kukaa takriban miez nane na kurud nakuta nimpendaue tayar anayo mimba

Daa aya bana maisha yanaendelea afu bila aibu alipo ckia nimerud akaja mpaka hme bila kuhofia chochote na tumbo lake duu wanawake wengne mpo vzur asee

Ndo basi tena mm na yeye
Ulishindwa kuopoa coloured hata mmoja kule kwa mabida ?
 
....................Bro pole sana asee!hakika inahuzunisha.

South Africa Wazulu wamekutimua chupuchupu wakutie kiberiti kurudi Bongo na rambo yako unakuta mchumba watu wameshamtemesha mate.
 
Vipi mkuu,umefanikiwa kutoroka SA?. Umeingia home? Karibu mkuu. Hivi inakuwaje mnashindwa kuji-oganize. Yaani mnapeana mawasiriano,inapoanza ambush kama hiyo,mnakusanyika sehemu mlipopanga kukutana haraka,mnakuwa tayari na zana zenu,visu,mapanga,mwenye bastora. Mnageuzia kibao kilaini sana wale. Ikibidi ni bora kufa wengi kwa pamoja na wao wengi kwa pamoja. Kuliko vile waliwageuza asusa,kuwaponda vichwa vile?. Noooo. Nasema Nooooooooooo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom