Ni kweli ila kunaushauri mwingine unategemeana na maelezo, ni vizuri kujua historia kidogo, maana unaweza kumshauri kuwa jamaa ameanza kumchoka kumbe ndio kwanza wana siku 4 au jamaa niwa hivyo hivyo kumbe anajua zamani alikuwa vizuri nk
nimejaribu kukaa na kuongea nae kaniambia tangu azaliwe yupo hivyo na tumeenda hosp tumeambiwa nitatizo la homone tumeenda kutumia dawa za asil bado hazisaidii kiufupi nayeye linamnyima usingizi tunashindwa tufanye ushauri kwenu wadau