inauma sana

inauma sana

Anna pita

JF-Expert Member
Joined
Jul 10, 2012
Posts
227
Reaction score
430
inauma sana upo ndani ya ndoa mme wa anawahi kumaliza namaanisha anatumia sekunde kumaliza kuunganisha hawezi, akirudia anamaliza ndani ya sekunde 2, anakuacha ukiwa bado na ny**********ge za kutosha mnajaribu kuwaona wataalam tatizo haliwezi kutibika, inafikia hatua najisugua kisimi mwenyewe kwa kidole ili tu nimalize ili nikae kwa amani nahisi najiumiza kwani natumia nguvu nyingi sana. cha ajabu mume anawivu hataki hata uzoeane na majirani maisha gani haya jaman nivunje mji au nifanyeje?
 
Ni pm nikupe mbinu utakubali mwenyewe jamaa atakuwa anakupelekea moto mpaka unasikia harufu baruti
 
Pole Sana!!
Kaa Na Mumeo Na Mjadiri Bila Kuoneana Aibu, Vilevile Mmpe Mda Wa Kukuandaa!

Muache Alirax Wala Husimpe Presha,Ongea Nae Kwa Upendo Na Ukarimu Ili Akujuze Yanayomsumbua!
 
Kwani kabla ya kuoana hamkuwahi kujaribu? Je wakati huo uliridhishwa na performance yake? Ndoa zilizo nyingi zinafungwa baada ya kuchakachua kwa muda kwenye uchumba. Kama hukuwahi kabisa, basi pole yako, lakini kama uliwahi, na ukakubali kuingia kwenye ndoa ilihali unajua udhaifu huo, basi wewe ndiyo una matatizo. Au kama ulikubali na ukaridhika na hali hiyo, na leo unaona haivumiliki, basi umeshamsaliti mmeo na sasa unafanya comparison na kile ulichokipata nje ya ndoa.

Research zinaonyesha zaidi ya asilimia 70 ya wanawake waliopo kwenye ndoa hawajawahi kabisa kufika kileleni, na hawajui kama kuna kitu kinaitwa kileleni, and they are quit satisfied na hizo ndoa. Kasheshe inakuja tu pale ambapo atatoka nje ya ndoa na kwenda kukutana na experience ya tofauti. Hapo ndo matatizo yanapoanza.
 
inauma sana upo ndani ya ndoa mme wa anawahi kumaliza namaanisha anatumia sekunde kumaliza kuunganisha hawezi, akirudia anamaliza ndani ya sekunde 2, anakuacha ukiwa bado na ny**********ge za kutosha mnajaribu kuwaona wataalam tatizo haliwezi kutibika, inafikia hatua najisugua kisimi mwenyewe kwa kidole ili tu nimalize ili nikae kwa amani nahisi najiumiza kwani natumia nguvu nyingi sana. cha ajabu mume anawivu hataki hata uzoeane na majirani maisha gani haya jaman nivunje mji au nifanyeje?
Ndoa ya muda gani na matatizo hayo yameanza lini?
 
Dadangu ANNA PITA!
Mwanzo Ulikuja Na Topic(HANIRIDHISHI JAMANI)
Vipi Ulifata Ushauri Uliopewa,Mbona Hujatupa Feeback?
Inabidi Ufunguke Ili Usaidiwe Inavyotakikana,Kama Vipi Mbebane Na Jamaa Mkacheki Afya!!
 
Ni jambo la kawaida sn na ni tatizo kwa wanaume wengi kuwahi kumaliza kabla ya mwanamke. Usimchoke mmeo and dont think of divoce. Hili tatizo ni la kisaikolojia hivyo usitegemee tiba kutoka hosp. ya kuwahi kumaliza. Kaa na mumeo mzungumze namna unavyoumizwa na tatizo hilo naye akionyesha tu concern basi tatizo limetibika. Kuna namna nyingi ambazo humwezesha mwanamke kuweza kumaliza kabla ya mwanaume au wote kwa pamoja. ,moja wapo ni kutumia muda mrefu kumuandaa mwanamke ,na nyingine style mnayo tumia kufanya mapenzi. Mwanamke humaliza mapema kwa style yenye kiasi kikubwa cha friction ya nje kuliko ya ndani and vc vca. Halafu during sex make sure wewe ndo unashughulika sn ili kupandisha orgasm na yeye atulie pale anapoona kuwa mzuka wake uko ili akusubie mmalize wote , it's just about timing not otherwise. Kuna kitabu fulani kinaitwa "Answers to your marriage " kinapatikana kwenye haya mabookshop ya wakatoliki ni kizuri sana. What I believe kwamba mkikisoma kwa umakini na mkakifanyia kazi I think mtapata tiba ya tatizo lenu na mtaenjoy ndoa yenu.
 
Mpe ushauri,
mbona wamtupia swali tena jamani?
Kuja PM.

Madame B msaidie mtoto wa mwanamke mwenzako lol....
Mwenzio hajawahi kupanda ndege, huwa anaziona tu angani...
 
Dah!! Ndoa nyingi siku hizi ni majaribu sana!!! Jamani haya machips kuku na mayai ya kisasa hebu punguzeni pia!!! Tujaribu michemshe na vyakula asili zaidi!!! Tumejifanya sana artificial na kila kitu kinakuwa artifial japo pia mambo mengi yanachangia sana kwa premature ejaculation!!!
 
Mpe ushauri,
mbona wamtupia swali tena jamani?
Kuja PM.
Ni kweli ila kunaushauri mwingine unategemeana na maelezo, ni vizuri kujua historia kidogo, maana unaweza kumshauri kuwa jamaa ameanza kumchoka kumbe ndio kwanza wana siku 4 au jamaa niwa hivyo hivyo kumbe anajua zamani alikuwa vizuri nk
 
MADAME B Huyu Dada Yangu ANNA... Ana Matatizo Makubwa,Ila Dzyn Kama Kukulu Kakala Nyiiingi!

Majigo swetie,unajua utamu nao ukizidi huwa mchungu.
Na kwanini ahangaike wakati Dildo zimejaa tele madukani.
Sitaki tabu mie,naliwasha kisha najichomeka,huyo mume cjui hawara atajiju.
 
Last edited by a moderator:
Dah!! Ndoa nyingi siku hizi ni majaribu sana!!! Jamani haya machips kuku na mayai ya kisasa hebu punguzeni pia!!! Tujaribu michemshe na vyakula asili zaidi!!! Tumejifanya sana artificial na kila kitu kinakuwa artifial japo pia mambo mengi yanachangia sana kwa premature ejaculation!!!

Mkuu Kwanza Mfumo Mzima Wa Kimaisha,Uko Shakala Bagala...Kuanzia Unyanywaji,Uvaaji,Ulalaji,Ulaji N.K,Ni Hatari Tupu!!
 
Madame B msaidie mtoto wa mwanamke mwenzako lol....
Mwenzio hajawahi kupanda ndege, huwa anaziona tu angani...

Nauza madildo kila size.
Ila nyie wanaume pasua sana vichwa.
Na kunyonywa kote huko lakini uko tulii,mwenzio ataka tena wamwekea vigingi tele.
Unafikiri hapo nikitafuta hawara nje nitakuwa nimetenda kosa?
Shem inaniuma sana.
 
Ni kweli ila kunaushauri mwingine unategemeana na maelezo, ni vizuri kujua historia kidogo, maana unaweza kumshauri kuwa jamaa ameanza kumchoka kumbe ndio kwanza wana siku 4 au jamaa niwa hivyo hivyo kumbe anajua zamani alikuwa vizuri nk

Sasa kama yuko hvo hvo kimoja tu kalege mi wa kazi gani?
Aku babu we,
Nyegge kunyeggezana.
 
Mwambie apunguze mawazo na ukae naye mda wa kutosha mkiwa kitandani, la sivyo huyo akupendi ana tamaa tu
 
Majigo swetie,unajua utamu nao ukizidi huwa mchungu.
Na kwanini ahangaike wakati Dildo zimejaa tele madukani.
Sitaki tabu mie,naliwasha kisha najichomeka,huyo mume cjui hawara atajiju.

Ahsante..!
Dildo Haitasaidia Kama Utakuwa Hujajiotoa Kukabiliana Na Tatizo Mpaka Uone Mwisho Wake!
Yuko Ktk Ndoa!!...Je,Maisha Ya Dildo Ndio Atakayo Maliza Nayo?
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom