Inauma sana!

Inauma sana!

luye25

Member
Joined
Mar 28, 2012
Posts
20
Reaction score
5
Inauma sana kuona mwanmke/mwanaume aliyekuwa mpenzi wako wa zamani ameolewa/ameoa mtu mwingine wakti ulikua unahisi ipo siku mtarudiana na kuwa pamoja milele!!!!
 
pole ndugu, yamekukuta nini? ndo maisha lakin. kubali tu kuwa ishatokea kwani hata usipokubali huwez kuibadilisha / kumbadilisha
 
Acha tu charminglady yamemkuta mtu wangu wangu wa karibu alikua anaona kama utani.
 
Pole mku..
ila ndo maisha hayo..

Ina uma sana pale tunapo poteza ndugu jamaa na marafiki (Kifo)
Inauma sana pale ajali za ajabu zinapotokea na watu kuumizwa vibaya.
Inauma sana kuona wengi wanateseka na magojwa ya ajabu.
Inauma sana kuona binadamu wanakufa njaa.

Inauma sana pale unapopenda lakini hupendwi.
Inauma sana mpenzio anapotoroka na mtu mwingi.
Inama sana pale unaemwamini anaenda ku cheat.
Inauma sana , tena sana, na sana zaidi..

Ninachotaka kusema kuna vitu vingi vinaumiza maishani ..
you just have to pull yourself up & move forward.

Mtakie jema mwenzio na baraka zako ziko njiani ..
 
pole ndugu, yamekukuta nini? ndo maisha lakin. kubali tu kuwa ishatokea kwani hata usipokubali huwez kuibadilisha / kumbadilisha

Mwambie azidishe juhudi za kujiweka bomba, atapata wake mwingine anayempenda.

attachment.php
 
Unapokuwa katika mahusiano usijisahau ukadhani unaweza kummiliki mtu, yakitokea kama haya unaweza ukachanganyikiwa!
 
Back
Top Bottom