Inasikitisha,ila ndio yashatokea!!

Inasikitisha,ila ndio yashatokea!!

Passion Lady

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2012
Posts
8,694
Reaction score
4,646

habarini wana jf
mi mwenzenu kuna kitu kimenikwaza na kimeniumiza sana
mtaani kwetu kuna mwanajeshi kaibiwa laptop,leo siku ya tano
wanapiga watu hovyo,kijana akikutwa barabarani ni kipigo
inasemekana kuna kijana amepigwa baada ya hapo wakampeleka
kituo cha police bahati mbaya amekufa,hajulikani ni wa wapi maana
walimkamata akiwa barabarani na shughuli zake
-hivi ukishakua mwanajeshi unaruhusa ya kupiga
mpaka kuua?sheria inawaruhusu hawa watu kunyaynyasa watu
kiasi hiki?halafu mbaya zaidi wanaenda zile nyumba ambazo ni
za watu wa kawaida sana,wenye mageti yetu hawathubutu,si uonevu huo?
sio siri imeniumiza sana,kama sheria za jeshi zinaruhusu hali hii,nimechoka!!
wanajeshi mtujuze kama sheria inawaruhusu kugeuza mtaa darfur kisa laptop
kaibiwa c ni uzembe wake?mfyuuuuuuuuu hamna haya!!

 
laptop??Tuu.
Pl hawa wanataka kudhihirisha kwenye jamii kuwa mjde haibiwi.
Inasikitisha kwa kweli kama ile iliyotokea mbezi beach dereva bajaj na maafande.
 
laptop??Tuu.
Pl hawa wanataka kudhihirisha kwenye jamii kuwa mjde haibiwi.
Inasikitisha kwa kweli kama ile iliyotokea mbezi beach dereva bajaj na maafande.

laptop tu tena katoka kaacha mlango wazi
wajanja wakapitia,ni uonevu wa hatari jamani
natamani ningejua sheria zao zinasemaje!!
 
Hakuna nchi yenye kuruhusu Judgement style hiyo!
Kwa nchi iliyovaa kikoi-mlege kama hii , tukio kama hilo laweza pita asi adabishwe mtu.
 
Hakuna nchi yenye kuruhusu Judgement style hiyo!
Kwa nchi iliyovaa kikoi-mlege kama hii , tukio kama hilo laweza pita asi adabishwe mtu.

duuuh!!afu tatizo wanawaonea wale wanyonge
wanajua hawataenda popote!!
 
Hakuna aliye juu ya sheria. mpigieni anayehusika na masuala ya watu kama hao mwambieni. mwenye namba anaweza kukupa.
 

habarini wana jf
mi mwenzenu kuna kitu kimenikwaza na kimeniumiza sana
mtaani kwetu kuna mwanajeshi kaibiwa laptop,leo siku ya tano
wanapiga watu hovyo,kijana akikutwa barabarani ni kipigo
inasemekana kuna kijana amepigwa baada ya hapo wakampeleka
kituo cha police bahati mbaya amekufa,hajulikani ni wa wapi maana
walimkamata akiwa barabarani na shughuli zake
-hivi ukishakua mwanajeshi unaruhusa ya kupiga
mpaka kuua?sheria inawaruhusu hawa watu kunyaynyasa watu
kiasi hiki?halafu mbaya zaidi wanaenda zile nyumba ambazo ni
za watu wa kawaida sana,wenye mageti yetu hawathubutu,si uonevu huo?
sio siri imeniumiza sana,kama sheria za jeshi zinaruhusu hali hii,nimechoka!!
wanajeshi mtujuze kama sheria inawaruhusu kugeuza mtaa darfur kisa laptop
kaibiwa c ni uzembe wake?mfyuuuuuuuuu hamna haya!!


my akanana Passion Lady usijali leo hawafanyi tena.

lakini nahisi hapo kuna mkono wa Lady doctor na Arushaone.
 
Last edited by a moderator:
je akikufumania unamla mkewe si ndio patakuwa hapatoshi hapo kitaani? ni uonevu usio na mpango.mtu mwenyewe zoba halafu usiibiwe kisa wewe ni mjeshi.
Nalog off
 
vibaka wote mtaani mnawajua lakini mnawalinda sababu ni mtoto wa jirani yako,watu tushaibiwa sana sasa tumechoka,wapigwe tu.
 

laptop tu tena katoka kaacha mlango wazi
wajanja wakapitia,ni uonevu wa hatari jamani
natamani ningejua sheria zao zinasemaje!!

Wanajeshi wana tabia za ajabu sana,issue za kijinga kabisa wanaitana na kufunga mtaa! Wanalazimisha heshima na kunyenyekewa mitaani
 
Hakuna sheria inayoruhusu hayo kutendeka
kamwe isipokuwa ni hapa nyumbani Tz
lakini hata hivyo taarifa zitolewe Polisi
na kwa vyombo vingine vya usalama !

Waliopigwa wapate majina ya hao wanajeshi
vizuri ili kibarua chao kiishie hapo.
Ni wakazi wa huo mtaa ama wanatembeza
kichapo tu.
 
Hakuna aliye juu ya sheria. mpigieni anayehusika na masuala ya watu kama hao mwambieni. mwenye namba anaweza kukupa.

yah!!nikipata namba za wakubwa wao
nitapiga coz waathirika ni mpaka majirani
zangu kabisa!!
 
Back
Top Bottom