hivi wanasomaga mpaka darasa la ngapi hawa?
Wanajeshi wana tabia za ajabu sana,issue za kijinga kabisa wanaitana na kufunga mtaa! Wanalazimisha heshima na kunyenyekewa mitaani
Hii inaonyesha how unproffessional TPDF is. badala ya kuwalinda wananchi dhidi ya maadui hawa aanawapiga raia. hata mbinu za kumkamata mhalifu hawajui. ndio maana wakienda front line hua wengi wanarudi kwenye mabox. kazi ya kumpiga binadamu mwenye silaha hawana taaluma nayo.
wafanye kazi wawe na hela
wataheshimika,wasilazimishe heshima
wakati wao wenyewe hawajiheshimu!!
vibaka wote mtaani mnawajua lakini mnawalinda sababu ni mtoto wa jirani yako,watu tushaibiwa sana sasa tumechoka,wapigwe tu.
Hawa ngoja machalii wa arachuga wanawalia mingo Kwanini wajeda waishi uraian while wana BARRACKS?
ngulelo,wamepangisha badala wakae kambini!!mbona majangaa,. Mtaa gani huo mnakaa na Wana-Jeshi bibie Passion Lady!!
Kumbe passion lady uko jirani kabisa,hii in hatari nasikia iyo laptop ni ya mkubwa wa jeshi af pia ilikuwa an data nyeti za kuhusu jeshi..Mbinu wanazotumia sio kabisa bora angetangaza zawadi kwa atakayefanikisha kupatikana kwake cz hicho kipigo wanachotembeza kwa watu ndio wanazidi kutengeneza chuki.