Inasikitisha,ila ndio yashatokea!!

Inasikitisha,ila ndio yashatokea!!

Acha ubwege hakuna mtu alokuwa juu ya sheria na hao wajeda mimi tayari nimeshamvunja taya moja juzi kati na nikamwambia hakuna cha mjeshi wala nini sote mahakama ni moja tu na alipo kwenda kuwachukua wezake na mimi nikenda kuchukua makamanda wangu polis wakaingilia kati heshima ikakuwepo kwenye kitaa

hapa ----- mimi au wewe?
maelezo mengi no mashiko fyuuuuu!!
 
some times ni bora kupigwa tuuu na siku zote vibaka wanafahamika.

mm huwanawakubali sana wanajeshi kwa azabu zao coz hata mm nilisha wahi kutana nao niliwahi sukuma gari kutokea super jeshi mpaka mwenge kisa gari iliharibikia pale super usiku.

na walishanikomesheaga vibaka wale wakuiba vitu vya magari walizama pale mnadani na kutembeza kichapo mpaka vitu vikapatikana some times inabidi kujifanya mwehu tuuu coz hii nchi isha haribika
 
Kumbe passion lady uko jirani kabisa,hii in hatari nasikia iyo laptop ni ya mkubwa wa jeshi af pia ilikuwa an data nyeti za kuhusu jeshi..Mbinu wanazotumia sio kabisa bora angetangaza zawadi kwa atakayefanikisha kupatikana kwake cz hicho kipigo wanachotembeza kwa watu ndio wanazidi kutengeneza chuki.

mkubwa wa jeshi ni nani؟
mi namfahamu davis na npo nae hapa.
Leteni data kamili nizifikishe
 
Back
Top Bottom