Sele Mkonje
JF-Expert Member
- Oct 2, 2011
- 643
- 844
Tuko kwenye dunia ambayo kila kukicha kuna tafiti mpya au tunakumbushwa yale ambayo tunatakiwa kuyazingatia kila siku kwenye maisha.
Na ninafahamu watanzania wengi huchelewa kufika nyumbani na hata kula chakula cha jioni. Kwenye mida ya saa mbili usiku hivi ndio utatukuta chakula kipo mezani lakini Wataalamu wanasema tunakosea kula chakula time hiyo kwa maana chakula kizito mwisho wa kula ni saa kumi na moja jioni na baada ya hapo ni tule vilainilaini tu.
Unaambiwa kuanzia saa kumi na moja jioni na kuendelea hautakiwi kula chakula kizito bali vile vyepesi tu mfano Juice maji na matunda sababu ukila chakula kizito na kulala muda mfupi baadae kitazuia ufanisi wa msukumo wa damu mwilini na mwisho wa siku ndio tunapata magonjwa ya shinikizo la damu.
[HASHTAG]#mckonjetv[/HASHTAG]
Na ninafahamu watanzania wengi huchelewa kufika nyumbani na hata kula chakula cha jioni. Kwenye mida ya saa mbili usiku hivi ndio utatukuta chakula kipo mezani lakini Wataalamu wanasema tunakosea kula chakula time hiyo kwa maana chakula kizito mwisho wa kula ni saa kumi na moja jioni na baada ya hapo ni tule vilainilaini tu.
Unaambiwa kuanzia saa kumi na moja jioni na kuendelea hautakiwi kula chakula kizito bali vile vyepesi tu mfano Juice maji na matunda sababu ukila chakula kizito na kulala muda mfupi baadae kitazuia ufanisi wa msukumo wa damu mwilini na mwisho wa siku ndio tunapata magonjwa ya shinikizo la damu.
[HASHTAG]#mckonjetv[/HASHTAG]