Story tu.hayo ulouliza ya kutoonyesha sula ya mtu ndo sawa,ila eti aliwapiga wazungu dhahabu fek ni hadithi tu.wazungu wanajua dhahabu kuliko sisi tulionazo
Mkuu naomba na mie maujanja ya kukesha JF, aisee nakuona hapa uli reply saa saba kasoro usiku wa leo. hahahahahaha. Safi sana. JF ina wenyewe na wenyewe ndio akina Ushimen