Una mpenda mumeo? Unampenda mkeo? Inasemekana: huanzia utotoni. Mtoto wa kike ampendaye sana babake atakapokuwa mtu mzima atakuwa na mapenzi makubwa kwa mumewe. Mtoto wa kike ampendaye sana mama yake huyo atakapo olewa anawalakini wa kudumu ndoani. Mtoto wa kiume ampendaye sana mama yake utotoni baadaye huwa na mapenzi ya dhati kwa mkewe. Aliyependa sana kuwa na babaye hukawia kuoa,na wakioa wakosoaji sana kwa wake zao na yawezekana ndoa isidumu. Proved it?. I stand be corrected though....