Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 81,084
- 93,891
Mkuu naona albadiri inakutafuna haswa.Asante Mwalimu wa somo la lugha
Mkuu naona albadiri inakutafuna haswa.Asante Mwalimu wa somo la lugha
Kwa hali inavyoonekana hutobowi Dec 2017, albadiri imekukamata vizuri.Kama mnaendesha mambo yenu kwa mambo kichawi basi kuingia Ikulu itakuwa ndoto.
Mpigaji alishindwa kumuua Tundu kama alivyokusudia. Kuanzia hapo watesi wanaweweseka sana na kukosa amani hasa pale roho ya utu inaporejea. Jipime tena.Kila nikitafakari na kuona jinsi madereva wa marais, makao wa Rais, waziri wakuu na mawaziri basi huwa naona uendeshaji wa Kiulinzi zaidi in case lolote likitokea hata ile parking yao tu utaona si ya kawaida.
Na hata katika mafunzo ya udereva huwa kuna namna ya mafunzo ya kuendesha viongozi hutolewa na hasa kama madereva wa viongozi basi kuna mafunzo ya ziada hutolewa kama ilivyo kwa madereva wa viongozi.
Tukio la shambulizi la Tundu Lissu unaona mapungufu mengi katika uendeshaji wa dreva wake pamoja na viashiria vya hatari zote kwa kiongozi wake lakini hakuchukua tahadhari yoyote kiasi cha kumweka Tundu Lissu kwenye target la shambulizi.
Nina imani angekuwa na mafunzo mazuri kuendesha viongozi asingefanya alichokifanya na hatimaye kumuacha kiongozi wake akashambuli na watu wasiojulikana.
Kila nikitafakari na kuona jinsi madereva wa marais, makao wa Rais, waziri wakuu na mawaziri basi huwa naona uendeshaji wa Kiulinzi zaidi in case lolote likitokea hata ile parking yao tu utaona si ya kawaida.
Na hata katika mafunzo ya udereva huwa kuna namna ya mafunzo ya kuendesha viongozi hutolewa na hasa kama madereva wa viongozi basi kuna mafunzo ya ziada hutolewa kama ilivyo kwa madereva wa viongozi.
Tukio la shambulizi la Tundu Lissu unaona mapungufu mengi katika uendeshaji wa dreva wake pamoja na viashiria vya hatari zote kwa kiongozi wake lakini hakuchukua tahadhari yoyote kiasi cha kumweka Tundu Lissu kwenye target la shambulizi.
Nina imani angekuwa na mafunzo mazuri kuendesha viongozi asingefanya alichokifanya na hatimaye kumuacha kiongozi wake akashambuli na watu wasiojulikana.
angehamisha gari, angetumia gari kama kinga, angetumia gari kama silaha dhidi Ya washambuliajiAcha Blah blah,
Wewe ungekua ndio Dereva wa Lissu ungefanyaje??
Swala la lisu limekugusa nadhani umeumia kuliko hata mke wakeKila nikitafakari na kuona jinsi madereva wa marais, makao wa Rais, waziri wakuu na mawaziri basi huwa naona uendeshaji wa Kiulinzi zaidi in case lolote likitokea hata ile parking yao tu utaona si ya kawaida.
Na hata katika mafunzo ya udereva huwa kuna namna ya mafunzo ya kuendesha viongozi hutolewa na hasa kama madereva wa viongozi basi kuna mafunzo ya ziada hutolewa kama ilivyo kwa madereva wa viongozi.
Tukio la shambulizi la Tundu Lissu unaona mapungufu mengi katika uendeshaji wa dreva wake pamoja na viashiria vya hatari zote kwa kiongozi wake lakini hakuchukua tahadhari yoyote kiasi cha kumweka Tundu Lissu kwenye target la shambulizi.
Nina imani angekuwa na mafunzo mazuri kuendesha viongozi asingefanya alichokifanya na hatimaye kumuacha kiongozi wake akashambuli na watu wasiojulikana.
Unahamishaje Gari??angehamisha gari, angetumia gari kama kinga, angetumia gari kama silaha dhidi Ya washambuliaji
NI KWELI HATA KUVAA Bulletproof Vest - Level IIIA for $299 NI SHIDA NA UNAJUA UNAFUATILIWA !!Ipo siku utajakusema lissu alikua anatumia gari la kiwango cha chini,ila nyie watoto wa enzi za upara shida sana
Kwl asee tuvae sote mwl mzima maana km angevaa ilo saivi angekua na maumivu ýa miguuni tu na la kichwani sh ngap bro?NI KWELI HATA KUVAA Bulletproof Vest - Level IIIA for $299 NI SHIDA NA UNAJUA UNAFUATILIWA !!
View attachment 610391
$299---2,246.88TZS====672000 TZSKwl asee tuvae sote mwl mzima maana km angevaa ilo saivi angekua na maumivu ýa miguuni tu na la kichwani sh ngap bro?
Kila nikitafakari na kuona jinsi madereva wa marais, makao wa Rais, waziri wakuu na mawaziri basi huwa naona uendeshaji wa Kiulinzi zaidi in case lolote likitokea hata ile parking yao tu utaona si ya kawaida.
Na hata katika mafunzo ya udereva huwa kuna namna ya mafunzo ya kuendesha viongozi hutolewa na hasa kama madereva wa viongozi basi kuna mafunzo ya ziada hutolewa kama ilivyo kwa madereva wa viongozi.
Tukio la shambulizi la Tundu Lissu unaona mapungufu mengi katika uendeshaji wa dreva wake pamoja na viashiria vya hatari zote kwa kiongozi wake lakini hakuchukua tahadhari yoyote kiasi cha kumweka Tundu Lissu kwenye target la shambulizi.
Nina imani angekuwa na mafunzo mazuri kuendesha viongozi asingefanya alichokifanya na hatimaye kumuacha kiongozi wake akashambuli na watu wasiojulikana.
hawana mawazo mapya...kila siku ishu hiyohiyoMkuu mbona hii ishu ya Lissu inakunyima raha kabisa
Ooooh!! Fifty four "54" this is crazy man, any way he will never die that way..Inawanyima raha kwasababu hakufa lengo lao lilikuwa TL arudi kwao akiwa ndani ya jeneza.
Hii thread ya 54 toka wampige TL.
Kila mkiambiwa waitwe wapelelezi wasiopendelea upande wowote hamtaki, Kwa nini? Waliompiga risasi meja wa jeshi walikamatwa siku ileile kwa nini waliompiga risasi Lisu mnaita wasiojulikana?Huwezi jua, pengine na dereva ni sehemu ya mission hiyo ndani ya chama chao, mpango mzima!