mkuu..! siku zote hua naona kauli yako ni ileile..! Aisee naifanyia kazi nipo makini sana..
Alichokimanisha mkuu ni kwambaSiku za period znahusianeje mkuu???npe elimu
Unakaa ndani na kuishia tu kula pilau?
Hii comment imenifanye niashe kupoteza wangu kutoa ushauriHuyu jamaa kiazi anatuchora tuu na hizi thread zake
Hivi mkeo ukikutana nae njiani ukahisi anaenda kuchepuka unaweza ukamrudisha? - JamiiForums
Sent using Jamii Forums mobile app