Inaonekana kuna jamaa analalaga na mke wangu ndani ya nyumba yangu

Nilienda kwa mke wangu baada ya kupta wiki kazaa, cha kushangaza ni kwamba mtoto wangu wakwanza mwenye miaka minne aliniuliza hivi baba jana usiku ulikuja? Nikamjibu hamna. Akanambia jana usiku kuna mwanaume alipga hodi mama akamfungulia na akalala

Sasa je, nifuatilie nijue? Au nikaushe tu? Na mama unanshauri nifuatilie nianzeje?

Nipo njia panda naomba ushauri
kausha tu sio ishu
 
Nilienda kwa mke wangu baada ya kupta wiki kazaa, cha kushangaza ni kwamba mtoto wangu wakwanza mwenye miaka minne aliniuliza hivi baba jana usiku ulikuja? Nikamjibu hamna. Akanambia jana usiku kuna mwanaume alipga hodi mama akamfungulia na akalala

Sasa je, nifuatilie nijue? Au nikaushe tu? Na mama unanshauri nifuatilie nianzeje?

Nipo njia panda naomba ushauri
Mkuu mrejesho vipi.
 
Nilienda kwa mke wangu baada ya kupta wiki kazaa, cha kushangaza ni kwamba mtoto wangu wakwanza mwenye miaka minne aliniuliza hivi baba jana usiku ulikuja? Nikamjibu hamna. Akanambia jana usiku kuna mwanaume alipga hodi mama akamfungulia na akalala

Sasa je, nifuatilie nijue? Au nikaushe tu? Na mama unanshauri nifuatilie nianzeje?

Nipo njia panda naomba ushauri
Imeishia wapi.
 
Nilienda kwa mke wangu baada ya kupta wiki kazaa, cha kushangaza ni kwamba mtoto wangu wakwanza mwenye miaka minne aliniuliza hivi baba jana usiku ulikuja? Nikamjibu hamna. Akanambia jana usiku kuna mwanaume alipga hodi mama akamfungulia na akalala

Sasa je, nifuatilie nijue? Au nikaushe tu? Na mama unanshauri nifuatilie nianzeje?

Nipo njia panda naomba ushauri

Hili swali kamuulize Mama yako, maana nadhani una upungufu.
 
Mkuu huon kuwa nikimhoji ntahatarisha maisha ya mtoto?? Naona Kama mtoto anaweza akamgeukia,ni kweli tunaish mikoa tofaut
.
Huna akili, unajua maama ya kuhoji, acha ugongewe tu, mtoto wako ana akili kukuzidi, unashindwaje kumhoji bila kumhusisha mtoto?

Unamwambia jana kuna mtu aliona mwanaume anagonga hapa usiku, mlango ukafungulia, akavunga akaona tena huyo mtu akitoka.

Atakuja na picha, sasa kabla picha hazijaja wd jielezee tu ni mwanaumwle gani kalala kwangu
 
Nilienda kwa mke wangu baada ya kupta wiki kazaa, cha kushangaza ni kwamba mtoto wangu wakwanza mwenye miaka minne aliniuliza hivi baba jana usiku ulikuja? Nikamjibu hamna. Akanambia jana usiku kuna mwanaume alipga hodi mama akamfungulia na akalala

Sasa je, nifuatilie nijue? Au nikaushe tu? Na mama unanshauri nifuatilie nianzeje?

Nipo njia panda naomba ushauri
Fuatilia kimya kimya
 
Back
Top Bottom