miminimkulimaakachekasana
JF-Expert Member
- May 29, 2017
- 3,263
- 4,709
kausha tu sio ishuNilienda kwa mke wangu baada ya kupta wiki kazaa, cha kushangaza ni kwamba mtoto wangu wakwanza mwenye miaka minne aliniuliza hivi baba jana usiku ulikuja? Nikamjibu hamna. Akanambia jana usiku kuna mwanaume alipga hodi mama akamfungulia na akalala
Sasa je, nifuatilie nijue? Au nikaushe tu? Na mama unanshauri nifuatilie nianzeje?
Nipo njia panda naomba ushauri