Inaniwia ngumu kusema Mungu ambariki Lema.....

Ta Muganyizi

R I P
Oct 19, 2010
5,361
2,734
Sina uhakika kama niko sahihi lakini nimepata tatizo kidogo. Mwenye jibu anijuze. Hivi nikitaka kusema Mungu ambariki Zitto nitasema God Bless Zitto, au kwa wengine nitasema God Bless Wassira!!!(although i doubt if he can be blessed), au God Bless Lusinde. Lakin inpofika zamu ya aliyekuwa Mbunge wa Arusha napata utata kidogo. Yeye ni Godbless Lema..........haya nisaidieni naiwekaje hiyo.

Swala la pili kama kuna mtu katutoka hapa duniani......na labda alikuwa fisadi ambaye ametutesa sana watanzania. Kama namtakia mema huko anakokwenda nitasema R.I.P, sasa kama nataka akaone cha moto huko anakokwenda natamkeje? Rest in trouble au( RIT) ? is it acceptable......lakini sipendi hata arest nataka asirest kabisaaaaaaa...yaaani malaika wa adhabu waendeleeee kumharibian ninasemaje? Nisaidieni jamani.

GOD BLESS YOU ALL.
 
Ningesema god bless Godbles Lema!!

Mie kama namlaani mtu huwa nasema To Hell au Nenda mwan kwenda ukafe tena...Lol
 
kazi kweli kweli, nadhani wachaga wanawajibu wakuheshimu Jina la Mungu, kuna rafiki yangu anaitwa Munguatosha.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom