sina namna ya kuonyesha moyo wangu pekee ndo unaotambua userious wangu,
Pamoja na kushuhudia sredi zako nyingi za kutafuta kibarua na ku-confess kuwa una familia, lakini nataka kujua kwa nini uliandika sredi hii na ni miezi mitano tu imepita?
5 Machi 2014
https://www.jamiiforums.com/love-connect/615171-natafuta-binti-anaejitambua.html
siamini bado,maumivu niliyonayo ni mazito,
mke wangu umeniacha,kukosa kazi limekua tatizo;
nimetoka mihangaikoni narudi nakuta haupo nyumbani umeondoka na mwanangu,bado nampenda sana huyu mwanamke
ameondoka na kuniacha kwenye kipindi kigumu sana,
mwezi ujao napaswa kulipa kodi najua umekimbia dhamna ya kufukuzwa na mwenye nyumba,ila ningepata tu mke wangu,.JAMANI WANAJF NISAIDIENI KAZI YOYOTE.
ninadharaulika sana jamani,
wanawake msiwadharau waume zenu msikimbie matatizo ndani ya nyumba..daah!
siamini bado,maumivu niliyonayo ni mazito,
mke wangu umeniacha,kukosa kazi limekua tatizo;
nimetoka mihangaikoni narudi nakuta haupo nyumbani umeondoka na mwanangu,bado nampenda sana huyu mwanamke
ameondoka na kuniacha kwenye kipindi kigumu sana,
mwezi ujao napaswa kulipa kodi najua umekimbia dhamna ya kufukuzwa na mwenye nyumba,ila ningepata tu mke wangu,.JAMANI WANAJF NISAIDIENI KAZI YOYOTE.
ninadharaulika sana jamani,
wanawake msiwadharau waume zenu msikimbie matatizo ndani ya nyumba..daah!
"umeniacha Gorgina, umeniachia masikitiko,...Gorginaaaa Gorginaaaaaa..." just singing loud!
"umeniacha Gorgina, umeniachia masikitiko,...Gorginaaaa Gorginaaaaaa..." just singing loud!
Sasa tutajuaje kuwa sasa upo serious?