mawardat
JF-Expert Member
- Apr 27, 2021
- 23,950
- 131,493
Kwako kuna nafasi nijiweke? 😀😀😀
Alitaka ateseke,mwenzie kumuwahi.Ulitaka afanyaje
Mwee!
Itakuwa kapendeza zaid ya alivyokuwa naeSasa kama ulimpiga chini, Kwanini unaumia? Roho mbaya hiyo.
Akikujibu nitag maana alisema alimpa mimba! Kwahiyo kaolewa na mimba yako au? Na umesema ulimkuta na mtoto (single mother)Anaolewa na mimba au alishajifungua?
Ulimtema baada ya kukwambia kuwa ana mimba au baada ya kugundua kuwa alikwambia ana mimba wakati hana boss?Haikuwepo. Alinidanganya. Ndio kisa cha kumtema.
No retreat no surrenderHaikuwepo. Alinidanganya. Ndio kisa cha kumtema.
Kwan hiyo nyumba ujiweke kwa muda??Kwako kuna nafasi nijiweke?
Umeona!!!!???Mwee!
Eti na mimba yke jamaa nayeoa hajuiAnaolewa na mimba au alishajifungua?