Public Enemy
JF-Expert Member
- Aug 18, 2011
- 3,063
- 3,630
huyu hata sio mwanamke ni rafiki yake wakiume maana mmekariri wanawake tu ndio sio wakuwaaminiUnaanzaje kumpatia Mtu pesa na kumuamini kirahisi rahisi tu hivyo lakini? Wanaume tusiwe wajinga kiasi cha kuwaamini Wanawake kama malaika.