Joto sio ugonjwa labda genye zako zinapanda sana ukiona dushelele limecmama
Usiombe itokee upost kitu cha kijinga... basi wote wanakusuta si wanaume wala si wanawake, hadi utatamani ubadilishe user name na Avatarmhhh humu kuna mambo! usipocheka, utakasirika, na kujifunza mengi usiyoyajua basi inakuwa raha tupu
Asanten jaman nikajua nna matatz coz jamaa alishangaa sana had nkaogopa
eti uko ndo kwenye heat,,haha
Inaonekana ni mroho wa ngono itakuuwaHabari zenu wapendwa hope mnaendelea vizuri na Ujenzi wa Taifa
poleni mliokumbwa na majanga ya mafuriko pya!
Nina swali wenzangu mnisaidie au kama una uzoefu
Ni kama mara mbiliinatokea tukiwa tunataka tudu na boyfriend wangu inatokea mwili wangu nakuwa wa moto sana had jana mchuchu kashangaa ni sababu ya hizi hali yali ya hewa ya baridi ama ntakuwa na tatizo?