Inanikumbusha mbali sana

RayB

JF-Expert Member
Nov 27, 2009
2,752
196
Thanks to Mjengwa,


attachment.php




Inanikumbusha miaka ya 80s tulipokuwa tunaenda kuangua mabibo then tunaenda kungaaka korosho lol good memories
 

Attachments

  • 07.jpg
    07.jpg
    22.2 KB · Views: 340
Ha ha tulikuwa tunatumi vitu vinaitwa makota (vipande vya matawi) katika kuyashusha hayo madude
 
Dah! kweli aisee. Au tulukiwa pamoja enzi za udogo? Nayakumbuka mabibo. Yana maji mengi na matamu! ukimaliza bibo unachoma korosho
attachment.php
 
Dah! kweli aisee. Au tulukiwa pamoja enzi za udogo? Nayakumbuka mabibo. Yana maji mengi na matamu! ukimaliza bibo unachoma korosho
attachment.php

You never know mzee especially with this JF anonymity thing..
 
Never came accross!...Ni nini hii?

Hilo tunda linaitwa Bibo PJ, na hiyo mbegu ndo korosho yenyewe baada ya kukaangwa na kubanguliwa. Mafuta ya korosho yalikuwa yanatumika kwa vijana enzi hizo kwa 'painful tattooing' na famous tattoos enzi hizo ni ya Bob Marley, Nanga, na n'ge.

I guess hii Mabibo ya sasa inatokana na hilo jina I guess enzi hizo kulikuwa na Mikorosho mingi sana
 
Hilo tunda linaitwa Bibo PJ, na hiyo mbegu ndo korosho yenyewe baada ya kukaangwa na kubanguliwa. Mafuta ya korosho yalikuwa yanatumika kwa vijana enzi hizo kwa 'painful tattooing' na famous tattoos enzi hizo ni ya Bob Marley, Nanga, na n'ge.

I guess hii Mabibo ya sasa inatokana na hilo jina I guess enzi hizo kulikuwa na Mikorosho mingi sana

Niongeze tu,
Sisi enzi zetu unakula bibo, unakaanga korosho.
Halafu, unachukua makorosho yaliyobaki kwenda kuchezea "kamari" kama vile gololi. Tulikuwa tunatumia mbegu kubwa kuyalenga , hiyo mbegu inaitwa kikwetu " Matandabala"
Ilikuwa funny kwa kweli
Thanks kwa kukumbusha hizo enzi!@!!!
 
Never came accross!...Ni nini hii?


PJ, hata kule shamba inabidi utenge eka kadhaa kupanda hii mikorosho. Kama una hela niambie nije "pale" nikupe somo pamoja na ile ishu ya Kokoa.
Nimeifanyia utafiti kidogo..........
 
Sasa hilo bibo kule kigamboni walikuwa wanatengeneza pombe ya kienyeji sikumbuki ilikuwa inaitwaje.....
 
Niongeze tu,
Sisi enzi zetu unakula bibo, unakaanga korosho.
Halafu, unachukua makorosho yaliyobaki kwenda kuchezea "kamari" kama vile gololi. Tulikuwa tunatumia mbegu kubwa kuyalenga , hiyo mbegu inaitwa kikwetu " Matandabala"
Ilikuwa funny kwa kweli
Thanks kwa kukumbusha hizo enzi!@!!!
Umenikumbusha kwa bibi(RIP) Zilikuwa siku nzuri sana!
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom