Nyamayao
JF-Expert Member
- Jan 22, 2009
- 6,966
- 2,352
Sometimes wanawake mnakera, hata mie nimeshawahi ulizwa mtu ambaye simfahamu kabisa kisa huyo dada ni famous kwa kugawa uroda mtaani kwetu na hupenda kuchangamkia waume za watu. Nikaulizwa unamfahamu Fulani? nikauliza ndo nani huyo? nikaambiwa mh unajifanya humjui wakati ndo superstar hapa mtaani, aaaaaaaaaaaaagrrrrrrrrrrrrrrrrrrrr kweli nilipandwa na hasira ya kulazimishwa kumjua mtu ambaye hata siku moja sikuwahi kumsikia wala kumwona, lkn nikaona omvi wa nini nikamwambia twende basi ukanioneshe, nikaambulia kuambiwa kumbe namtamani. ssa tokea hapo unajua hulka ya binadamu nikawa nataka nimwone huyo anayesujudiwa kuwa ni super star, JAMANI kuja kumwona huyo dada mwenyewe hata hamu sina, kwanza nahisi kila kitu cha kununua pale alipo, WEUPE wa dukani, Makalio ya kichina, yaani nahisi hata kutapika.halafu kila mtu ana type zake anazo penda jamani wake zetu, si kila mwanamke eti kisa kajichubua na ana makalio ya kichina basi eti ndo MZURI. Nilichokifanya baada ya hapo sasa, nikagundua wife confidence imemshuka nadhani huko saluni anakokwenda walimzungumzia huyo dada kuwa ni mwizi wa waume za watu akapata wasi wasi. Jmosi moja nikampeleka shopping kidogo, halafu jioni nikampeleka pale Girrafe Hotel just kupata kaupepo na wine ya kuzugia, akafurahi vibaya mno! lastly nikamwambia unajua wewe ndo MAMA YANGU UNAYENILEA? Na MTOTO HAKUI KWA MAMA so please take care of me. (Huwa anapenda sana kusema yeye ndo mama yangu kwa sasa) Basi everything ikarudi ikawa normal
imekaa vizuri hiyo......