nadiegirlie
JF-Expert Member
- Sep 24, 2018
- 472
- 637
Kwani wamebadilisha si ilikuwa semester ya 1 magufuli hostels unalipa 70000 ya pili elfu 50000Hapo Direct cost 97000 na 108000 ya accommodation kwa Magufuli na Mwalimu Nyerere Hostel
Kwani wamebadilisha si ilikuwa semester ya 1 magufuli hostels unalipa 70000 ya pili elfu 50000Hapo Direct cost 97000 na 108000 ya accommodation kwa Magufuli na Mwalimu Nyerere Hostel
UDSM ili usajiliwe ada lazima uwe umetoa yote sio nusu ila huwezi kulazimishwa kulipa ada utaendelea kusoma huku hujasajiliwa shida test zikianza haufanyi mpaka uwe umesajiliwa kwa hiyo unaweza ukasoma mwezi ukapita ukiwa hujasajiliwaKwa UDSM ili usajiliwe unatakiwa ulipe Ada walau Shingapi???? Ikiwa umekosa mkopo (Ada) kabisa 0%
Sent using Jamii Forums mobile app
Unaandika barua wanakurudishiaHivi inakuaje ukalipa ada chuo alafu badae batch 3 ikaja unakuta umepata mkopo. Je, watanirudishia ada?
Au nisubiri hadi batch 3 itoke
Chuo chenyewe ni UDSM
Vipi hostel kupangiwa, huwa wanapanga first year wote?UDSM ili usajiliwe ada lazima uwe umetoa yote sio nusu ila huwezi kulazimishwa kulipa ada utaendelea kusoma huku hujasajiliwa shida test zikianza haufanyi mpaka uwe umesajiliwa kwa hiyo unaweza ukasoma mwezi ukapita ukiwa hujasajiliwa
Hostels first year karibu wote wanapangiwa kwa sababu ndio kipaombele japo kuna watu wachache wanakuwa hawajapangiwa ambapo wanatakiwa kumuona USAB na anasaidiwaVipi hostel kupangiwa, huwa wanapanga first year wote?
Maana mie hawajanipangia hawa wanadamu, sijui wanawaza nini. Wakati kwenye admission letter wameandika first year wote wanapata hostelHostels first year karibu wote wanapangiwa kwa sababu ndio kipaombele japo kuna watu wachache wanakuwa hawajapangiwa ambapo wanatakiwa kumuona USAB na anasaidiwa
Wahi uende kesho au jumatatu utapangiwa na unapata kwa sababu hata hivyo sio wote waliopangiwa wanakaa huko wengine watoto wa maboss hawataki kujichanganya so vyumba vinakuwa havina watu hata kama watachelewa lakini watakupangiaMaana mie hawajanipangia hawa wanadamu, sijui wanawaza nini. Wakati kwenye admission letter wameandika first year wote wanapata hostel
Upo hapo au ushamalizaWahi uende kesho au jumatatu utapangiwa na unapata kwa sababu hata hivyo sio wote waliopangiwa wanakaa huko wengine watoto wa maboss hawataki kujichanganya so vyumba vinakuwa havina watu hata kama watachelewa lakini watakupang
Ntakuwepo tarehe 30Upo hapo au ushamaliza
Sawa sawa, nime ku text PMNtakuwepo tarehe 30
Mkuu haurudishiwi ada sema inakuwa inaongezewa kwenye ada utakayotakiwa kuwa unaongezewa kama utapata mkopo chini ya 100% mi mwenyewe nililipa ada 60% ya ada ya mwaka ila nikapata mkopo batch 3 kwa iyo ikawa inapunguzwa kidogo kidogo kila mwakaHivi inakuaje ukalipa ada chuo halafu badae batch 3 ikaja unakuta umepata mkopo. Je, watanirudishia ada?
Au nisubiri hadi batch 3 itoke
Chuo chenyewe ni UDSM
👍Mkuu haurudishiwi ada sema inakuwa inaongezewa kwenye ada utakayotakiwa kuwa unaongezewa kama utapata mkopo chini ya 100% mi mwenyewe nililipa ada 60% ya ada ya mwaka ila nikapata mkopo batch 3 kwa iyo ikawa inapunguzwa kidogo kidogo kila mwaka
Inakuwaje kama hiyo batch 3 ikija na 100%?Mkuu haurudishiwi ada sema inakuwa inaongezewa kwenye ada utakayotakiwa kuwa unaongezewa kama utapata mkopo chini ya 100% mi mwenyewe nililipa ada 60% ya ada ya mwaka ila nikapata mkopo batch 3 kwa iyo ikawa inapunguzwa kidogo kidogo kila mwaka
Kopa hutosajiriwa mpaka ulipie Direct costsNimeenda chuoni wananambia eti nilipe laki mbili vimichango vyao ili nisajiriwe mm hela sina. Sasa nimepata mkopo nashidwa elewa baada wanisajiri hlf ikiingia nitawarudishia wanazingua shenzi hawa
Sent from my SM-J701F using JamiiForums mobile app
Direct costs za universities ziko nje ya mkopo.. unatakiwa uzilipe mwenyewe direct chuoniAu utaratibu ukoje mazee yn nimepata mkopo % halafu wanasema nilipe eti laki mbili nimewambia mm sina nisajirin nikipata mkopo nitalipa hawataki eti nilipe mkopo ukiingia watanirudishia hv huu c ushenz
Sent from my SM-J701F using JamiiForums mobile app
Unafanya refund..unarudishiwa hela yako.Hela ikitolewa hairudi
Duuuuh haya Mauaji Sasa mm nimeshalipa Nusu ya Ada na nilipanga nyingine nimalizie second semester daaaah mbona hii Ni kero sasaUDSM ili usajiliwe ada lazima uwe umetoa yote sio nusu ila huwezi kulazimishwa kulipa ada utaendelea kusoma huku hujasajiliwa shida test zikianza haufanyi mpaka uwe umesajiliwa kwa hiyo unaweza ukasoma mwezi ukapita ukiwa hujasajiliwa