Inakuwaje ukilipa ada halafu ukapata mkopo?

Inakuwaje ukilipa ada halafu ukapata mkopo?

Mimi nililipa hawakurefund ila niliongea na mhasibu ile amount yangu walikua wanaikata katika ile michango ya chuoni ya kila mwaka... but ilikua ni small amount tu ambayo nililipa tu kwa wenge la ufirst year niliwaachia chuo 36K.
 
Back
Top Bottom