Inakuwaje Rostam hawi waziri?

sina comment kuhusu RA kuendesha nchi. kuhusu kuwanyonya wapiga kura waa igunga, najiweka tofauti na wachangiaji waliopita nikiwa mwana igunga. hakuna kitu ambacho RA anavuna igunga kama jimbo. igunga hakuna madini wala raslimali yoyote anayonyonya. wana igunga wamempa kura kuwa mwakilishi kama majimbo mengine. issue ni kwamba anatumia uwakilishi wake wa ubunge kujipatia utajiri sehemu nyingine. Quote me, MAJI YA ZIWA VICTORIA yatakwenda igunga kabla ya tabora, nzega au wilaya nyingine za shinyanga!
 
Raia Fulani, nafasi ya uwaziri kwa RA sio dili, yeye ni King Maker, yaani ndiye anayemuweka rais aliyemadaraka, kwa lugha nyingine, rais ni mtumishi wake. Ni yeye aliyemuweka JK madarakani, ni yeye aliyemuondoa Msekwa kwenye uspika na kumuweka Siita. Kosa ya Sitta ni kumtumia Mwakiembe kummaliza EL ambae ni mtu wake wa karibu, tayari Sitta keshapata malipo ya kazi yake kwa kumtoa uspika na yeye aliyemuweka Anna Makinda. Mtu kama huyu bado anauhitaji uwaziri wa nini wakati rais mwenyewe ni mtumishi wake tuu.

Kuthibitisha hili, JK atamrudisha EL na Sitta atamwagwa jumla, 2015 ni RA ataeamua rais ajaye ni nani!.
Nimekusoma mkuu. Inashangaza kwa mtu kama huyu kuwa na influence kiasi hiki ndani ya hii. Inanikumbusha Prison Break na The Company chini ya General na kadi yao ya Cyler. Sasa hawa wanaochezewa kama midoli-Sitta, Msekwa, JK et al wanaangalia tu. Si bure. Kuna nguvu ya ziada toka nje ya taifa hili inayomsapoti RA ambayo wazawa hawa wanaihofia
 
Hawa nao mwisho wao waja. siku si nyingi hilo jangiri na jizi kubwa la mali za watanzania linaitwa ROSTAM litakimbilia kwao IRAN.
 
Rostam ni zaidi ya raisi, kwa hiyo hana haja ya kuwa waziri.
Yeye ndiye anayeandaa baraza la mawaziri, anamchagua rais , spika na ana nguvu pia ya kuwamwaga wapinzani wake kwa kutumia pesa zake
Hili swali limenijia tu baada ya kuwaza kidogo. RA ninavyomfahamu ni mtu wa karibu wa jk na wadau wengine serikalini. Kwa nyadhifa alizo nazo ndani ya chama na serikali ni mtu ambaye hapaswi kunyimwa uwaziri. Wajuzi mtuambie, jk ni mbaguzi? Au kuna ishu kati yao inayomfanya jk kumweka RA back stage.
 
Kwani Rais wa Tz ni nani? Kwani Rais atawezaje kuwa waziri tena? Hiyo ngumu jamani. Mwenye nchi hii ni Rostam, ni yeye anayependekeza nani awe waziri wa wizara gani.
Mungi umesema nasikia hata hotuba za Kikwete RA huwa anaziandika. Bravo R.A aka mzee wa usogi
 
Rais wa Tanzania ni ROSTAM AZIZ

Hili swali nimeliuliza ktk topic flani humu humu lakini sikupata jibu.
Hivi kuna Mmatumbi yeyote huko nchi za Asia i.e Arab na India ambaye ana'hold cheo hata cha ukatibu kata?
Lakini huku kwetu hao waAsia ndio wanatokomeza taifa hili na wanasujudiwa kama miungu watu.
Wanafanya wanachotaka, wanamweka madarakani yeyote wanayemtaka.
 
RA anafanana na Mzungu aliyemwambai Nyerere (Baba yangu wa Nchii) ameiweka serikali ya Baba mfukoni mwake, je ni tofauti na huyu? RA ni Mtoa misaada sio Mwakilshi au Mbunge heheeeee, wana Igunga aliwapatia maana kwao ukame kama kawa hivyo akimwaga Mchele na Unga kutoka MO uliochakachuliwa watu angalao wakapata mlo wanasema ahsante Mungu mtu kutoa Igunga, sasa ukipita kwao hawataki kulima wanategemea RA, akamue madini yetu ndio wpate pumba za kula, Huyu Mtu yaani (Muuza ngozi kutoka Iran) ni hatari sana kwa taifa hili, kutoka kuuza ngozi pale morogoro mpaka Mweka Hazian wa CCM, angalau mtikila alifanikiwa kumpoza maana anapafahamu mpaka kwa babu yake, angalia pass yake inayokaa Nairobi jaribu kuona kama kuna mihuri ya kuingia irani kwenye pass iliyotolewa hapa TZ, hawezi kupewa Uwaziri maana siri zake nyingi tutazimwaga, vipi Masha huyo hakumwona nini Mpaka anasumbua hivi ila alimwona wa Mwanzan akamfanyizia
 
Hili swali nimeliuliza ktk topic flani humu humu lakini sikupata jibu.
Hivi kuna Mmatumbi yeyote huko nchi za Asia i.e Arab na India ambaye ana'hold cheo hata cha ukatibu kata?
Lakini huku kwetu hao waAsia ndio wanatokomeza taifa hili na wanasujudiwa kama miungu watu.
Wanafanya wanachotaka, wanamweka madarakani yeyote wanayemtaka.

historia inatubana katika hili mkuu. Hili halitatokea
 
Sasa kwa hali ilivyo na tukakubali iendelee manake huyu mtu huko mbele atakuwa na power za ajabu,anaweza akawa na hata wanajeshi wanaomtii ndani ya jeshi letu ambacho ni kitu cha hatari saana mnaweza kuona mauji yasioleweka kwa wale wampingao.Kwani tumeshaona katika nchi nyingi tu za africa hawa majangili yalivyoweza kutumia fedha zao kuwa na vikundi vya kuendeleza na kuulind uhalifu wao.Asije akatuletea ya umafia tukiwa tunatazama na kunyamaza tu.
 
Hayo mtazungumza,kama mazungumzo baada ya habari.Mwenzenu amewazidi maarifa.Hata hao kina Sitta,Dr Mwak..,Seleli na wenzake wote mijizi kama wana siasa wengine.Sasa tuwaachie walio jaliwa na MUNGU wale nchi.Sisi tutapiga midomo tu maloser.
 
Hayo mtazungumza,kama mazungumzo baada ya habari.Mwenzenu amewazidi maarifa.Hata hao kina Sitta,Dr Mwak..,Seleli na wenzake wote mijizi kama wana siasa wengine.Sasa tuwaachie walio jaliwa na MUNGU wale nchi.Sisi tutapiga midomo tu maloser.
Triple S maneno yako ni ya ukweli na yamenichoma mno.
Kweli ukiwa na pesa unainunua nchi yeyote ya Afrika.
 
Nilimchukia zaidi RA pale alipomjibu WIS kuhusu tuhuma za La Kairo. Aliandika kwa herufi kubwa kuwa HUYU MZEE ANAZEEKA VIBAYA... Wakati tunajua fika kuwa alitumia umafia wake kujitengenezea alibi. Watch out whitey!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom