The dream
JF-Expert Member
- May 10, 2015
- 999
- 994
Nasoma post uchwara na kushushia pop cornHata hilo nalo hulijui. Kwa sababu ni wapenda amani na wanafuata sheria bila shuruti. Kubambakiziwa kesi hakuna mtu anaweza kuepuka lakini ukishaeleweshwa hili halitakiwi ndio unarudi kwaenye mstari