Inakuwaje mtu anawaibia Polisi?

Inakuwaje mtu anawaibia Polisi?

Polisi walio wengi ni vilaza! hivyo waachwe tu waendelee kuibiwa.
Hata sisi wananchi pia ni mazezeta, nchi nzima tunalazimishwa kununua gesi ya mtu mmoja..
Gesi ya Mtwara kumbe haifai kupikia eee - hatukujua mapema tusingeshangilia wakati wa kujenga ile pipe toka Mtwara kuja dar ili ifanyiwe uchakataji afu tuipate kwa bei chee.

Watanganyika tutaliwa hadi lini?
 
Ni jambo la kushangaza hawa FFF kila siku wanadeal na wanachadema wakati wenzao wanapiga madeal ya vifaa na tender za angel kizigha.

Ni aibuu see sisi wananchi kujua eti walinzi wa raia na mali zao nao wanaibiwa.
Ni Tanzania pekee
 
Back
Top Bottom