Hapana sheria ya nishati haimruhusu kuzuia mchakato.Ungeweka hicho kipengele kinachompa madaraka ya kutoa maamuzi ndo tungekuelewa! Ina maana unapopewa taarifa kama imepinda wewe unakaa kimya tu mpaka watu wafanye maamuzi ndo na wewe ukurupuke kutoka huko utokako? Kwa mfano hiyo barua unayosema pengine ilizungumzia habari za kupandisha umeme kwa nini hakupinga hapo hapo kwamba haiwezekani umeme upandishwe sasa hivi? Yeye zoba anaacha mchakato unaenda mpaka mwisho ndo anazinduka usingizini? Shame on him!