kagoshima
JF-Expert Member
- Dec 31, 2015
- 2,631
- 5,137
Hii ni zamu yetu wananchi kuamua nani tumchague na nani tusimchague kwenda kutuwakilisha.
Maajabu sasa huyu Rais anayemaliza muda wake amesikika akiongea kwa jazba kuwaamrisha wananchi nani wamchague. Hii si sawa maana legitimacy ya uongozi ni baada ya approval ya wenye nchi.
Hivi kumbe siye raia wa nchi si lolote wala chochote.
Je, ni CCM nzima inadharau na kubinya haki ya wananchi kushiriki kuchagua viongozi wawatakao? Au ni hulka tu na udhaifu wa mgombea wao John Pombe Magufuli kutuona siye raia hatuna haki yoyote ya kufanya maamuzi?
Maajabu sasa huyu Rais anayemaliza muda wake amesikika akiongea kwa jazba kuwaamrisha wananchi nani wamchague. Hii si sawa maana legitimacy ya uongozi ni baada ya approval ya wenye nchi.
Hivi kumbe siye raia wa nchi si lolote wala chochote.
Je, ni CCM nzima inadharau na kubinya haki ya wananchi kushiriki kuchagua viongozi wawatakao? Au ni hulka tu na udhaifu wa mgombea wao John Pombe Magufuli kutuona siye raia hatuna haki yoyote ya kufanya maamuzi?