Inakuaje wasomi wanafanya mambo ya hovyohovyo

Inakuaje wasomi wanafanya mambo ya hovyohovyo

blackstone

Senior Member
Joined
Aug 11, 2015
Posts
147
Reaction score
129
Habari wana jf
Kumekuwa na matukio mengi sana mitaani yanafanywa na watu mbalimbali wasomi kabisa unakuta degree masters hadi phd holders.Unakuta msomi kabisa ila kila siku kesi mara kagombana na huyu kesho yule, ivi saikolojia haijamsaidia huyu tena msomi kabisa mara kabaka mtoto wa miaka sita, msomi kabisa kafumaniwa na mke wa mtu,msomi kabisa anashindwa kutatua changamoto zake na anajitangaza kila kukicha kwa watu,msomi kabisa anatukana watu mtandaoni,masomi kabisa anashindwa kujithamini na kutambua mchango wake katika jamii, msomi kabisa unakuta ana doctrine ila hajaoa,enyi wasomi tatizo lenu nini
Wakuu hawa wasomi tatizo lao ni nini......
 
Safi ntajirekebisha lakini pia sometime usomi huwe z uka apply sehem zote ,,nipo uswazi nami najiweka kiswazi ili niendane nao na mambo yasonge ,kweli uswazi utataka usitarabu gn eti msomi jmn ,utapunguza tu makali lakini uswazi utanifunika
 
Kuoa au kuolewa sio ishu siku hizi, hayo mengine ni tatizo la kitaifa ambalo limefanyiwa utafiti 1:4
 
swala la kuoa ni maamuzi ya mtu ila hilo la wasomi kugombana gombana mitaani kweli ni uhuniiii
 
Habari wana jf
Kumekuwa na matukio mengi sana mitaani yanafanywa na watu mbalimbali wasomi kabisa unakuta degree masters hadi phd holders.Unakuta msomi kabisa ila kila siku kesi mara kagombana na huyu kesho yule, ivi saikolojia haijamsaidia huyu tena msomi kabisa mara kabaka mtoto wa miaka sita, msomi kabisa kafumaniwa na mke wa mtu,msomi kabisa anashindwa kutatua changamoto zake na anajitangaza kila kukicha kwa watu,msomi kabisa anatukana watu mtandaoni,masomi kabisa anashindwa kujithamini na kutambua mchango wake katika jamii, msomi kabisa unakuta ana doctrine ila hajaoa,enyi wasomi tatizo lenu nini
Wakuu hawa wasomi tatizo lao ni nini......
Wengi hawatakuelewa mleta mada,mada yako imekaa kimtego sana.
 
darasani hawafundishwi kuoa,kutobaka,etc
 
Habari wana jf
Kumekuwa na matukio mengi sana mitaani yanafanywa na watu mbalimbali wasomi kabisa unakuta degree masters hadi phd holders.Unakuta msomi kabisa ila kila siku kesi mara kagombana na huyu kesho yule, ivi saikolojia haijamsaidia huyu tena msomi kabisa mara kabaka mtoto wa miaka sita, msomi kabisa kafumaniwa na mke wa mtu,msomi kabisa anashindwa kutatua changamoto zake na anajitangaza kila kukicha kwa watu,msomi kabisa anatukana watu mtandaoni,masomi kabisa anashindwa kujithamini na kutambua mchango wake katika jamii, msomi kabisa unakuta ana doctrine ila hajaoa,enyi wasomi tatizo lenu nini
Wakuu hawa wasomi tatizo lao ni nini......
Kuna tofauti kati ya kusoma na kuelimika.
 
Badilisha hapo kwenye red, badala ya wasomi andika 'wahitimu'. Msomi wa kweli hafinyi mambo ya hovyo hovyo!
Habari wana jf
Kumekuwa na matukio mengi sana mitaani yanafanywa na watu mbalimbali wasomi kabisa unakuta degree masters hadi phd holders.Unakuta msomi kabisa ila kila siku kesi mara kagombana na huyu kesho yule, ivi saikolojia haijamsaidia huyu tena msomi kabisa mara kabaka mtoto wa miaka sita, msomi kabisa kafumaniwa na mke wa mtu,msomi kabisa anashindwa kutatua changamoto zake na anajitangaza kila kukicha kwa watu,msomi kabisa anatukana watu mtandaoni,masomi kabisa anashindwa kujithamini na kutambua mchango wake katika jamii, msomi kabisa unakuta ana doctrine ila hajaoa,enyi wasomi tatizo lenu nini
Wakuu hawa wasomi tatizo lao ni nini......
 
Kumcha Mungu ndio chanzo cha Maarifa,wasomi wengi wamejiweka kando na Mungu wakidhani wanaweza Fanya kila kitu kwa utashi wao na Elimu zao,ili binadamu akamilike anahitaji Mwili, nafsi na roho.Akili zao zinajua hiki ni kibaya ila nafsi zinashindwa kumuepuka Uovu sababu ya kujitenga kwao na Mungu! Kumbuka kama huna Mungu basi uko kinyume chake Ova
 
inategemea kasomea nini huyo msomi, kama kasomea uchumi lazma mambo mengine yatampiga chenga, hasa hilo la kugombana na watu, msomi akikaa na jamii ya wapuuzi, wapuuzi watamuona huyo ni mpuuzi tu, mjuaji, hali kadhalika na msomi atawaona wapuuzi ni wapuuzi tu siku zote, pia hata wakutane jamii ya wasomi tupu bado kuna tabia za asili zitawatia kasoro pamoja na usomi wake, mfano halisi wakati nipo field ktk mjengo flani mkuubwa pale Posta umejaa wizara na mawaziri na wakurugenzi wote wasomi na wapenda teknolojia ila wengi pale wameuziwa simu za XBO kwa bei ya laki 8, ilhali aliyekuwa akiwauzia hizo simu pale kariakoo alikuwa akinunua elfu 75 au 80....F...mungu anakuona umewanyoosha sana wavaa suti mle ndani...
 
Tatizo cio usomi tu, je elimu imekukomboa? Wengine tunasoma Lakin hatuelimiki, poor believes pia hatar ndo kuto kuelimika kwenyewe huko! Ushafundishwa kwa mganga anakulia pesa tu bado unaenda si uzoba huo!!!!!!!!!!!
 
Tatizo wengi wa wasomi wetu wana nakisi ya UCHAMUNGU.Elimu kubwa bila ya uchamungu ndio sababu ya haya yanayotokea leo hii.
 
Halafu umenikumbusha maprofesa watatu. Wawili walikwenda kujazia kura za umeya pale Kinondoni bila hata aibu wakati wao si halali. Mwingine alijiuzulu kwenye chama chake lakini amerudi utafikiri hayawani anazunguka utafikiri mwehu eti yeye ni halali pamoja na kuwa alishaondoka na kuaga kabisa hadharani. Maprofesa wanaojielewa ni kama Profesa Majimarefu na Profesa J kuliko hawa wa kusomea wanauabisha hadi uprofesa wenyewe
 
Kusoma hakumfanyi mtu abadili baadhi ya tabia zote alizonazo,
BALI INAMFANYA MTU APATE ILE DHANA YA UWAJIBIKAJI,

TOOL PEKEE INAYOWEZA KUI SHAPE TABIA YA MTU NI "DINI " PEKE YAKE.
NA NDIO MAANA TUNA WASOMI WENGI WA OVYO KAMA UNAVYODAI,
SASA UKIKUTA AMBAYE AMEISHIKA DINI NA PIA AMEENDA SHULE BASI HUYO UTAMKUTA AKIWA MZURI
 
Back
Top Bottom