naomba nikuombee huku huku nilipo nahisi upako utakushukia mkuu... naona dishi lako limeyumba..!!!!Elton John ni mwimbaji nyota duniani wa nyimbo Za BLUES Je wanaume wanaopenda nyimbo na kucheza nyimbo zake nao mashoga wenzie?
Waimbaji wa muziki wa RNB nao mashoga?
Wasiopenda taarabu ni wale wa kuja mjini toka shamba!
Taarabu ni kama blues music , wapendanao huambiana na kupeana mahaba huku wakicheza au kusikiliza!
Kwa hiyo siyo kweli kuwa mwanaume akipenda/kucheza taarabu ni shoga !
Kuzani hivyo bila kutikisha kidole ni Ushamba !
Na hapa ndo tutawajua wakuja!
Samahani Kwa kuyasema hayo Ila mmenishangaza sana!
Mtu kishachuma mpunga wa kutosha tena ana manyumba na mabiashara huku pochi bado ikiwa nene.Hata yule mzee kaacha kuimba hizo mambo, then we chunguza kwa undani zaidi na si ushabiki maandazi waimba taarabu wa kiume yaani wepesi wanajiachia sana, sababu kuimba taarabu sio kama kuimba hip hop lazima vidole uviyumbishe we unadhani nn hapo sasa???
Naona anajitahidi kubinjua kiboga...Kwa Daslam naunga mkono hoja.... View attachment 862852
naomba nikuombee huku huku nilipo nahisi upako utakushukia mkuu... naona dishi lako limeyumba..!!!!
Huyo hata pedi itakua anavaa....tehteehh [emoji12] [emoji12]Naona anajitahidi kubinjua kiboga...
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Huyo hata pedi itakua anavaa....tehteehh [emoji12] [emoji12]
Yah ni kweli kabisaUle ni mziki wa pwani ni sawa na mdundiko segere na nyinginezo huwezi kukuta asili ya kwenu na kuicha ndio maana wengi mnaiga mpaka yasiyoigwa kuangalia vitu wanavyofanya majuu huko na kuleta nchini na kudharau vya kwenu
Taarab kuna zile za kusutana na kuna zile zenye maadhi ya mapenzi ni wewe msikilizaji ujichagulie tu
Duuh. Nimejikuta nakuelewa tu Mkuu.Taarab Asilia ni nzuri sna na inameneno mazuri yaliosanifiwa katika kila ubora,wacheni kujazana sumu waskilize culture musical naad akhwan safaa nakina sinti binti saad utaelewa uzur wa taarab.
Hizi modern ntaarab mbwembwe nyingi kma bongo fleva.
Hizo hipop zenyewe vidole vipo juu pia. Alafu afro pop, bongo flava wanakata viuno hata kuliko taarab. Sema labda unachukia taarab tu kwenyKama mada inavyojieleza
Nauliza inakuaje wewe mwanaume kamili rijali unakaa na kuanza kusikiliza nyimbo za taarabu??
Wakati nimesimama pale mataa ya Buzuruga naskia music mnene wa taarabu kutoka gari la jirani,kuchungulia ndani nawaona masela ndo wanaskiliza tena kwa furaha kweli kweli
Music wa taarabu unapendwa na wambea,wanawake na mashoga sasa wewe dume komavu unapata wapi hisia za kusikiliza nyimbo zilizojaa vijembe na gubu?
Mwanaume sikiliza HIP HOP,Bolingo ndomboro ya solo,hizo taarabu waachie wadada na mashoga.
Hajar nakubaliana ma AmorEy kwa asilimia mia. Siku hizi hakuna taarabu bali uchafu na uchafuzi tu wenyewe wanaita Taradance!Duuh. Nimejikuta nakuelewa tu Mkuu.
Sesten Zakazaka njoo uone alichokiandika Amor kwani nimejikuta nakukumbuka maana nishawahi ona unaandika sehemu kuhusu hiziTaarab asilia.
Yabidi na mie nizitafute maana nawakumbuka hao kina Juma Bhalo, Malika, Shakila kipindi nipo nyumbani Mama alikuwa na Kaseti zake na tulikuwa tunasikiliza na ni nyimbo zilizokuwa na maudhui mazuri mnooo.Hajar nakubaliana ma AmorEy kwa asilimia mia. Siku hizi hakuna taarabu bali uchafu na uchafuzi tu wenyewe wanaita Taradance!
Wasikilize Culture na Nad Ikhwan Swafaa au Malindi ukipenda, kisha rudi nyuma enzi za kina Almarhum Shakila Said, Mwanahela
Asma Hani, Sharmila, Ursulla kwenye mashairi ya kumtoa nyoka pangoni(sio nyoka yule lakini) na sauti za vinanda haswaa
Nenda nchi jirani ya Kenya utafute nyimbo za kina Matano Juma, Juma Bhalo(Mungu Amrehemu), Maulid Juma, Zuhura Swaleh na wengineo uone utajiri wa muziki wa taarabu asilia
Siku hizi hakuna kitu na ndio wanatukanisha Taarabu hao
Mashairi mazuri, maudhui mazuri, sauti nzuri na hata kama wanazungumzia mambo mazito ya ki mahaba na mawada basi hua ni kwa staha na tafsidaYabidi na mie nizitafute maana nawakumbuka hao kina Juma Bhalo, Malika, Shakila kipindi nipo nyumbani Mama alikuwa na Kaseti zake na tulikuwa tunasikiliza na ni nyimbo zilizokuwa na maudhui mazuri mnooo.
Hebu shangaa na weweKama mada inavyojieleza
Nauliza inakuaje wewe mwanaume kamili rijali unakaa na kuanza kusikiliza nyimbo za taarabu??
Wakati nimesimama pale mataa ya Buzuruga naskia music mnene wa taarabu kutoka gari la jirani,kuchungulia ndani nawaona masela ndo wanaskiliza tena kwa furaha kweli kweli
Music wa taarabu unapendwa na wambea,wanawake na mashoga sasa wewe dume komavu unapata wapi hisia za kusikiliza nyimbo zilizojaa vijembe na gubu?
Mwanaume sikiliza HIP HOP,Bolingo ndomboro ya solo,hizo taarabu waachie wadada na mashoga.
Umemaliza maneno yangu mkuuBora anayesikiliza taarabu kuliko anayesikiza singeli....
PS: Asili ya taarabu ni Pwani sasa kama wewe wa Tarime hutaweza kuwaelewa wa Pwani.