Inakuaje mwanaume unasikiliza taarabu??

Inakuaje mwanaume unasikiliza taarabu??

Sigara Kali

JF-Expert Member
Joined
May 28, 2017
Posts
3,711
Reaction score
8,764
Kama mada inavyojieleza
Nauliza inakuaje wewe mwanaume kamili rijali unakaa na kuanza kusikiliza nyimbo za taarabu??
Wakati nimesimama pale mataa ya Buzuruga naskia music mnene wa taarabu kutoka gari la jirani,kuchungulia ndani nawaona masela ndo wanaskiliza tena kwa furaha kweli kweli

Music wa taarabu unapendwa na wambea,wanawake na mashoga sasa wewe dume komavu unapata wapi hisia za kusikiliza nyimbo zilizojaa vijembe na gubu?

Mwanaume sikiliza HIP HOP,Bolingo ndomboro ya solo,hizo taarabu waachie wadada na mashoga.
 
Hata yule mzee kaacha kuimba hizo mambo, then we chunguza kwa undani zaidi na si ushabiki maandazi waimba taarabu wa kiume yaani wepesi wanajiachia sana, sababu kuimba taarabu sio kama kuimba hip hop lazima vidole uviyumbishe we unadhani nn hapo sasa???
 
Watanzania wakati mwingine tujifunza kuelewa maana ya uhuru kuchagua kile mtu akipendacho bila kukera wengine.

Taarabu ni nyimbo kama zilivyo nyimbo zingine so ukiona mtu anaipenda ujue amevutiwa tu na huo wimbo kama wewe ulivyovutiwa na HIP HOP.

Ila mimi banafsi sijawahi kupenda nyimbo za taarabu wala singeli maana huwa sielewi wanachoimba.
 
Ule ni mziki wa pwani ni sawa na mdundiko segere na nyinginezo huwezi kukuta asili ya kwenu na kuicha ndio maana wengi mnaiga mpaka yasiyoigwa kuangalia vitu wanavyofanya majuu huko na kuleta nchini na kudharau vya kwenu
Taarab kuna zile za kusutana na kuna zile zenye maadhi ya mapenzi ni wewe msikilizaji ujichagulie tu
 
Kama mada inavyojieleza
Nauliza inakuaje wewe mwanaume kamili rijali unakaa na kuanza kusikiliza nyimbo za taarabu??
Wakati nimesimama pale mataa ya Buzuruga naskia music mnene wa taarabu kutoka gari la jirani,kuchungulia ndani nawaona masela ndo wanaskiliza tena kwa furaha kweli kweli

Music wa taarabu unapendwa na wambea,wanawake na mashoga sasa wewe dume komavu unapata wapi hisia za kusikiliza nyimbo zilizojaa vijembe na gubu?

Mwanaume sikiliza HIP HOP,Bolingo ndomboro ya solo,hizo taarabu waachie wadada na mashoga.
Taarabu ni muziki wa mwambao wenye kushkamana na tamaduni za wageni kutoka bara asia hususani uajemi na nchi nyingine za kiarabu ni muziki ambao hapo awali ulikuwa ukiimbwa na wanaume tu wanawake ilikuwa ngumu kushiriki muziki huo pengine kutokana na tamaduni za jamii za watu wa pwani ambao majority ni waisalamu. Siti binti Saad ndiye mwanamke wa kwanza kuanza kuimba taarabu na kuipeleka anga za kimataifa zaidi. Tangia hapo wanawake wakaanza kujingiza taratibu na hatimaye kuuteka kabisa muziki huo. Taarabu kwa sasa imepoteza maana na uhalisia wake lkn kwa wale manju wa kiswahili na utamaduni wa waswahili wanauthanini sana muziki huo na kwa sasa taarabu asilia imebakia huko Zanzibar, mombasa lkn kwa Dar es salam imepotoka na kumbuka kuwa miaka hyo taarabu ilikuwa ni maarufu sana kwa miji ya Unguja, Tanga, Dsm na Mombasa.
 
Mamaenu mdogo anapenda kusikiliza ile nyimbo ya Kala Pina mstari wa mbele, mwenyewe nashangaa huyu vipi tena anapapenda pale,, "wamezamia meli kumbe meli ya wagiliki hawaponi hawasalimiki"
Na hao wanaume wanao chekelea kuskiliza tarabu vipi?
 
Kwa Daslam naunga mkono hoja....
tapatalk_1536604712592.jpeg
 
Back
Top Bottom