Ndama Jeuri
JF-Expert Member
- Jul 9, 2015
- 1,541
- 1,550
Sebene flani hivi amazing ndo hunivutia kusikiliza taarabu na sio mashairi yao! Taarabu ikiwa imepoa haina sebene siwezi kusikiliza aisee! Na Unaposema burudani inahususisha vitu vingi, sio mashairi tu, wengine wanaweza kupenda vinanda, beat za mziki na k. sasa nacho ona walio wengi wamejikita kwenye mashairi ya wimbo, wamesahau kuna midundo, vinanda na k. zNi namna unavyoona wewe.
Usitake kila mtu afanane na wewe.
Wapo wapenda hiphop, wengine wapenda bongo fleva, wengine blues, wengine taarabu.
Zote ni choice za watu na wana haki ya kuchagua.
Hatuwezi kufanana wote mkuu, iwe ni dini kila mtu anachagua iwe ni mademu kila mtu anachagua, siasa kila mtu anachagua.
Suala la ujinga na ujanja ni mtu mwenyewe.