Inakuaje mwanaume unasikiliza taarabu??

Inakuaje mwanaume unasikiliza taarabu??

Usifananishe Hip Hop na mambo ya kijinga
Ni namna unavyoona wewe.
Usitake kila mtu afanane na wewe.

Wapo wapenda hiphop, wengine wapenda bongo fleva, wengine blues, wengine taarabu.
Zote ni choice za watu na wana haki ya kuchagua.
Hatuwezi kufanana wote mkuu, iwe ni dini kila mtu anachagua iwe ni mademu kila mtu anachagua, siasa kila mtu anachagua.
Suala la ujinga na ujanja ni mtu mwenyewe.
 
Kama mada inavyojieleza
Nauliza inakuaje wewe mwanaume kamili rijali unakaa na kuanza kusikiliza nyimbo za taarabu??
Wakati nimesimama pale mataa ya Buzuruga naskia music mnene wa taarabu kutoka gari la jirani,kuchungulia ndani nawaona masela ndo wanaskiliza tena kwa furaha kweli kweli

Music wa taarabu unapendwa na wambea,wanawake na mashoga sasa wewe dume komavu unapata wapi hisia za kusikiliza nyimbo zilizojaa vijembe na gubu?

Mwanaume sikiliza HIP HOP,Bolingo ndomboro ya solo,hizo taarabu waachie wadada na mashoga.
sipendi taaarabu ila sio sahihi kusema ni special kwa wanawake wambea na mashogaa
 
Kila mtu ana kitu anapenda haswa kwenye music flavour usilazimishe kila mtu afate matakwa yako kuna anae shangaa mtu anaesikiliza kwaya au Qaswida, Vile vile hao Fans wa Qaswida au kwaya nao wanawashangaa watu wa hip hop
 
Kama mada inavyojieleza
Nauliza inakuaje wewe mwanaume kamili rijali unakaa na kuanza kusikiliza nyimbo za taarabu??
Wakati nimesimama pale mataa ya Buzuruga naskia music mnene wa taarabu kutoka gari la jirani,kuchungulia ndani nawaona masela ndo wanaskiliza tena kwa furaha kweli kweli

Music wa taarabu unapendwa na wambea,wanawake na mashoga sasa wewe dume komavu unapata wapi hisia za kusikiliza nyimbo zilizojaa vijembe na gubu?

Mwanaume sikiliza HIP HOP,Bolingo ndomboro ya solo,hizo taarabu waachie wadada na mashoga.
Mimi nilivyokuwa Tanga nilisikiliza sana Taarabu na kununua DVD nikawa nazo kwangu ili kuvutia mabinti wakija wanataka kuangalia taarabu, cha kushangaza nilivyotoka huko sizipendi kabisa
 
Watanzania wakati mwingine tujifunza kuelewa maana ya uhuru kuchagua kile mtu akipendacho bila kukera wengine.

Taarabu ni nyimbo kama zilivyo nyimbo zingine so ukiona mtu anaipenda ujue amevutiwa tu na huo wimbo kama wewe ulivyovutiwa na HIP HOP.

Ila mimi banafsi sijawahi kupenda nyimbo za taarabu wala singeli maana huwa sielewi wanachoimba.
Dume zima linacheza taarabu huku vidole viko juu?
 
Back
Top Bottom