Inakera sana!!!!!! Taja kero yako.....

Inakera sana!!!!!! Taja kero yako.....

farkhina

Platinum Member
Joined
Mar 14, 2012
Posts
14,568
Reaction score
16,920
1)Umepumzika kwa raha zako baada ya kuchoka siku nzima alafu ile unafumba jicho unakuta utafiti ame bipu unamtwangia anakujibu nlikua nakusalimia tu.....wallah waweza mmeza mzima mzima kwa hasira lol


(2)Umekazana zako safarini waelekea kuwahi mahala mtu anakusamamisha unamsikiliza jibu oooooh sorry nimekufananisha umefanana na sana Karucee huyu lazma umpandie mgongoni umfanye punda ili uwahi safar yako lol

Hebu na wewe sema kitu kinachokukera

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
unapompatia mtu appointment saa nne asubuhi tena unamsaidia yeye. Anafika saa nane, ume-switch ratiba nyingine kabisaa. Anakupa visingizio ambavyo hata mtoto wa jirani anajua unaongopewa.
Mi huwarudisha na kuwapa appointment wiki mbili mbele
 
unapompatia mtu appointment saa nne asubuhi tena unamsaidia yeye. Anafika saa nane, ume-switch ratiba nyingine kabisaa. Anakupa visingizio ambavyo hata mtoto wa jirani anajua unaongopewa.
Mi huwarudisha na kuwapa appointment wiki mbili mbele

Duh hili tatizo letu waswahili hatujali mda....hata ukimwambia aje achukue hela mda fulan basi atachelewa lol

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Mnakubaliana na mtu mkutane mahali saa flani,we unafika utakaa mpaka masaa mawili bado anasema yupo njiani karibia anafika.
 
Mnakubaliana na mtu mkutane mahali saa flani,we unafika utakaa mpaka masaa mawili bado anasema yupo njiani karibia anafika.

Na wengine asha mapromise lol

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Unapofanyiwa interview na boss asiejua kitu; anakuuliza swali unampa jibu sahihi alafu anabisha. Yaaani unatamani umpige vichwa vya kutosha.
 
ah....eti jamaa anakubeep, ukimpigia oh nilikuwa na Shiva nikopeshe elfu 20.....
 
ah....eti jamaa anakubeep, ukimpigia oh nilikuwa na Shiva nikopeshe elfu 20.....

Hahahaha ikiwa yamshinda vocha ya 500 hiyo elfu 20 atalipaje? Lol ila may be kabeep kusisitiza ana shida

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Hii adha wanayo wauza maduka...unaulizia kitu mfano naomba kuona kiatu hiko apo anakutajia bei kwa maana kama vile hukimudu sasa kwani ulimwambia akugaie au utakopa kama hela yako haitoshi?

Hahahahhaha cousin yangu yalimkuta haya ni perfume basi akazinunua 2 alipotiliwa kwa mfuko akamwambia muuza duka hiyo moja chukua wewe zawadi yako....kakomajeeeee

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Haka katabia tunako wa tz farkina, ukizingatis telephone etiquette humtaka mpokeaji wa simu ajjtambulishe.

sure au unakuta amekutext, wamtell kabisa sorry nani mwenzangu,akujibu ina maana umepoteza namba yangu... c'mon ningekuwa na namba yako ningeuliza 🙁
 
sure au unakuta amekutext, wamtell kabisa sorry nani mwenzangu,akujibu ina maana umepoteza namba yangu... c'mon ningekuwa na namba yako ningeuliza 🙁

Hii yahitaji subra mara unamjibu mbovu mtu kama huyo ukute mtu wako wa karibu au mtu unae muheshimu

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Hahahaha ikiwa yamshinda vocha ya 500 hiyo elfu 20 atalipaje? Lol ila may be kabeep kusisitiza ana shida

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums

wana kera tu, hamna lolote ....
 
Umekaa bar unakunywa bia yako ya mawazo halafu anakuja mtu na story nyiingi lakini mwishowe anaishia kukupiga kirungu ! Hivi kama huna hela umekuja bar kufanya nini ??
Jamaa mmoja alikuja mezani kwangu akanupiga kirungu cha bia moja nikaita muhudumu nikamwambia hebu mhudumie huyu ndugu anachokunywa kwa bili yake !!jamaa alinimaind kufa
 
Umekaa bar unakunywa bia yako ya mawazo halafu anakuja mtu na story nyiingi lakini mwishowe anaishia kukupiga kirungu ! Hivi kama huna hela umekuja bar kufanya nini ??
Jamaa mmoja alikuja mezani kwangu akanupiga kirungu cha bia moja nikaita muhudumu nikamwambia hebu mhudumie huyu ndugu anachokunywa kwa bili yake !!jamaa alinimaind kufa

Hahahahaha wewe ulimpatia hasa

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
unapompatia mtu appointment saa nne asubuhi tena unamsaidia yeye. Anafika saa nane, ume-switch ratiba nyingine kabisaa. Anakupa visingizio ambavyo hata mtoto wa jirani anajua unaongopewa.
Mi huwarudisha na kuwapa appointment wiki mbili mbele

halafu wanasingizia masaa ya kiswahili,
swine!!!!
mbona darasani kwenye pepa mzimamizi akisema pen down inakuwa!!!!
 
Back
Top Bottom