1)Umepumzika kwa raha zako baada ya kuchoka siku nzima alafu ile unafumba jicho unakuta utafiti ame bipu unamtwangia anakujibu nlikua nakusalimia tu.....wallah waweza mmeza mzima mzima kwa hasira lol
(2)Umekazana zako safarini waelekea kuwahi mahala mtu anakusamamisha unamsikiliza jibu oooooh sorry nimekufananisha umefanana na sana Karucee huyu lazma umpandie mgongoni umfanye punda ili uwahi safar yako lol
Hebu na wewe sema kitu kinachokukera
Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
(2)Umekazana zako safarini waelekea kuwahi mahala mtu anakusamamisha unamsikiliza jibu oooooh sorry nimekufananisha umefanana na sana Karucee huyu lazma umpandie mgongoni umfanye punda ili uwahi safar yako lol
Hebu na wewe sema kitu kinachokukera
Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
Last edited by a moderator: