Inahusu dada poa a.k.a machangu.

Inahusu dada poa a.k.a machangu.

Mwanasazi

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2012
Posts
242
Reaction score
69
Leo ndio mara yangu ya kwanza kuja R Chuga, nimeona ni jiji zuri sana lina baridi la wastani, lakini nasikia ni jiji la kibabe, anaway suala kubwa lililönileta hapa ni kuwa nimefikia maeneo ya kaloleni karibu na shivas na picnic sasa nimeoneshwa dada poa kibao nataka ninunue mmoja anikaribishe jijini arusha, so wadau hasa wadau wa arusha naombeni ushauri how to make step na tahadhari zake.
 
Kwa hiyo sisi ndio consultants wa dada poa au??....Hebu upe thamani yake basi mtandao wa JF, hii mambo yako ulitakiwa uiweke huko sijui twitter au facebook.
Yaani lijitu lizima linaomba ushauri wa namna ya kutenda dhambi, halafu linakuja hapa na misharubu imemsimama kama mnyama aliyekitwa kimoja na Libolo jana hapo Taifa Gesti Hauz...
Maarifu wangu wa Kaloleni, Soweto na Mianzini....hebu mshughulikieni huyu mb.ulula, kama vipi si mumnyonye macho tu!!
 
Kwa hiyo sisi ndio consultants wa dada poa au??....Hebu upe thamani yake basi mtandao wa JF, hii mambo yako ulitakiwa uiweke huko sijui twitter au facebook.
Yaani lijitu lizima linaomba ushauri wa namna ya kutenda dhambi, halafu linakuja hapa na misharubu imemsimama kama mnyama aliyekitwa kimoja na Libolo jana hapo Taifa Gesti Hauz...
Maarifu wangu wa Kaloleni, Soweto na Mianzini....hebu mshughulikieni huyu mb.ulula, kama vipi si mumnyonye macho tu!!



Hivi huyu watu nane anayatoaga wapi haya maneno..??
 
Leo ndio mara yangu ya kwanza kuja R Chuga, nimeona ni jiji zuri sana lina baridi la wastani, lakini nasikia ni jiji la kibabe, anaway suala kubwa lililönileta hapa ni kuwa nimefikia maeneo ya kaloleni karibu na shivas na picnic sasa nimeoneshwa dada poa kibao nataka ninunue mmoja anikaribishe jijini arusha, so wadau hasa wadau wa arusha naombeni ushauri how to make step na tahadhari zake.




Usifike tu Unga LTD na Ngarenaro....
 
hahha kamatia mwana hapo....ujipe raha ila dada poa wa arusha ni wabaridi sana
 
Kaka angalia wasijekuwekea dawa za kulevya utaibiwa kila kitu.....
 
Kwa hiyo sisi ndio consultants wa dada poa au??....Hebu upe thamani yake basi mtandao wa JF, hii mambo yako ulitakiwa uiweke huko sijui twitter au facebook.
Yaani lijitu lizima linaomba ushauri wa namna ya kutenda dhambi, halafu linakuja hapa na misharubu imemsimama kama mnyama aliyekitwa kimoja na Libolo jana hapo Taifa Gesti Hauz...
Maarifu wangu wa Kaloleni, Soweto na Mianzini....hebu mshughulikieni huyu mb.ulula, kama vipi si mumnyonye macho tu!!
Tumia busara kushauri
 
Watu8
bora umemshauri hvyo jukwaa lzm liheshimiwe bwana!!
Hivi unategemea majibu gani kwa watu wenye hekima kwa kutaka ushauri kama huo
nakuonea huruma ndg yangu kwa nyakat tulizonazo
we mwenzetu naona maisha kwako mteremko ktk ugumu wa maisha tulionayo nyway labda umeamua kuweka maisha yako rehani mwenzetu!!
Me nakushauri achana na vitu kama hivyo jieshim kwanza wewe na utaheshimiwa na kila mtu!!!!
 
Huyu c ndio mtt wa kina flani,mdomo karithi kwa mama yake itakua,amezaliwa uswazi kaloleni,kakulia uswazi,mama yake mwenyewe mswahili,kwa nini asiwe na maneno?usiseme kama nimekwambia!maana wakiungana na mama yake vijembe vinanihusu!


Haya sitamwambia ila na mimi usimwambie Ruttashobolwa nitakayokuambia
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Kwa hiyo sisi ndio consultants wa dada poa au??....Hebu upe thamani yake basi mtandao wa JF, hii mambo yako ulitakiwa uiweke huko sijui twitter au facebook.
Yaani lijitu lizima linaomba ushauri wa namna ya kutenda dhambi, halafu linakuja hapa na misharubu imemsimama kama mnyama aliyekitwa kimoja na Libolo jana hapo Taifa Gesti Hauz...
Maarifu wangu wa Kaloleni, Soweto na Mianzini....hebu mshughulikieni huyu mb.ulula, kama vipi si mumnyonye macho tu!!
watu8 siku hizi mdogo wangu umebadilika?? yaani umekuwa mkali utafkiri baba mwenye nyumba. nini tatizo kwani??
kwa post yako hii ungekuwa na bakora ungemtwanga za makalio lol!
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom