and 998 others
JF-Expert Member
- Jun 27, 2012
- 28,223
- 39,702
We jamaa unajuaga kila kitu kila jukwaa upo asee shikamoooKuna MTU alienda Rwanda na passo.
Hiyo Gari yako inachemka kwasababu hujatoa thermostat
Zinabebwa kwenye malori ya kubebea magari.hivi passo za zambia, congo, rwanda zile IT zinazoshukia bandarini dar huwa zinapelekwaje nchi zao?? huwa zinabebwa na malori au zinaendeshwa??? na je dar lubumbashi au kigali au lusaka ni chini ya km 200???
isijekuwa mtu kauziwa mkweche anatudanganya hapa
hivi passo za zambia, congo, rwanda zile IT zinazoshukia bandarini dar huwa zinapelekwaje nchi zao?? huwa zinabebwa na malori au zinaendeshwa??? na je dar lubumbashi au kigali au lusaka ni chini ya km 200???
isijekuwa mtu kauziwa mkweche anatudanganya hapa