Nimekuelewa ila sijapenda mfano wako..Njia bora ya mke kukuchoka nikumzoesha ubabe, kejeli, mateso. Siku akichoka hakika utajuta. Atageuka kuwa mbabe zaidi yako let them stay tuned.
Muulize mama yako atakwambiaUnasema alichomoa bastola na kutishia kumpiga nape.!! We ni KE au ME?? Hivi uliona vizuri..aliitoa baada ya nape kumuuliza ye ni nani..kwamba ye ni mwana usalama ndio maana yuko pale..na aliitoa na kuirudisha kiunoni mara moja.
Kwa sababu we uliambiwa na mamako sio.Muulize mama yako atakwambia
Sasa unamwambia nani. Nenda kavunje mfupa basi, unamngojea nani afanye hivyo?...Kinatakiwa kifanyike kitu kitakachovunja mfupa. Vinginevyo malalamiko mpaka muhula mwingine huku mmoja baada ya mwingine akipotezwa
nimekutafutia tusi nimekosaMbona hujaweka picha ya unavyodai tujionee wenyewe.. endeleeni kudanganyana tu..
Kwani huyu zandiki anaishi wapi? Tumtembelee kumsabahiView attachment 726986
View attachment 726987
View attachment 726988
View attachment 726990
Mambo ya Expansion joint haya
Tupate burudani kidogo kutoka kwa wadhamini
View attachment 726991
kuona faida ya huu uongo unaoenezwa kila Mara.
Siku zinahesabika...Kwani huyu zandiki anaishi wapi? Tumtembelee kumsabahi