bush crazy
JF-Expert Member
- Oct 4, 2018
- 757
- 1,020
Habari wakuu!!
Niende moja kwa moja kwenye maada. Takwimu zinaonyesha wanaume Ni wengi kuliko wanawake hapa duniani, ikiwa na maana wanawake huzaliwa wengi kuliko wanaume.
Na ingekuwa wanawake wanaoa Basi kunauwezekano wanawake wengi wangekosa wanaume wa kuwaoa na wanaume tungeolewa tukiwa wadogo Sana sababu ya competition Kati ya wanawake .
Sasa linapokuja suala la kifo nidhahiri kwamba wanaume wengi wanakufa kabla ya wenzi wao na ndio maana mitaani wajane Ni wengi kuliko wagane. Chunguza hapo mtaani Kuna mabibi wangapi ukilinganisha na mababu.
Wengi husema stress za ndoa Ni sababu, Basi kuna umuhimu wa kufanya utafiti ukihusisha umri waishio mapadre na wanaume waliooa. Ilikujua kweli maisha ya ndoa yanaathiri afya za waoaji.
Lengo Ni kuongeza life expectancy ya wanaume.
"Nyoka hafunikwi kwa tenga"
Niende moja kwa moja kwenye maada. Takwimu zinaonyesha wanaume Ni wengi kuliko wanawake hapa duniani, ikiwa na maana wanawake huzaliwa wengi kuliko wanaume.
Na ingekuwa wanawake wanaoa Basi kunauwezekano wanawake wengi wangekosa wanaume wa kuwaoa na wanaume tungeolewa tukiwa wadogo Sana sababu ya competition Kati ya wanawake .
Sasa linapokuja suala la kifo nidhahiri kwamba wanaume wengi wanakufa kabla ya wenzi wao na ndio maana mitaani wajane Ni wengi kuliko wagane. Chunguza hapo mtaani Kuna mabibi wangapi ukilinganisha na mababu.
Wengi husema stress za ndoa Ni sababu, Basi kuna umuhimu wa kufanya utafiti ukihusisha umri waishio mapadre na wanaume waliooa. Ilikujua kweli maisha ya ndoa yanaathiri afya za waoaji.
Lengo Ni kuongeza life expectancy ya wanaume.
"Nyoka hafunikwi kwa tenga"