Bata batani
JF-Expert Member
- Nov 11, 2011
- 3,183
- 3,547
Huu mjadala ambao nimeusikia redioni Nikiwa ndani ya daladala ambapo Kuna utafiti ulikuwa unajadiliwa ambapo unanyeesha wanaume wengi waliooa kuanzia miaka ya 2014 hadi 2022
Asilimia 80 wamekimbia ndoa zao na kwenda kuanza upya hivyo kumwachia mwanamke Mali zote .....
Je, tatizo ni nini mpka idadi hiii inaongezeka wanaume kukimbia ndoa na kuwachia wanawake Mali
Asilimia 80 wamekimbia ndoa zao na kwenda kuanza upya hivyo kumwachia mwanamke Mali zote .....
Je, tatizo ni nini mpka idadi hiii inaongezeka wanaume kukimbia ndoa na kuwachia wanawake Mali