Mzee ulipigwa kiss la kivampaya, sio poaduuuh kweli kabisa kuna demu mmoja haya mambo hajui kabisa
tulikiss ila cha moto nilikiona lips zote azifai mtoto anameno makali yule duuuh
mpk nikajiuliza au anayanoa meno mana sio kwa kunirarua kule lips
sawaaManeno matupu hayavunji mfupa, alafu mimi naamini kwenye vitendo zaidi sio maneno...
3e una demu mzungu atkuna movie inaitwa addicted nimetoka kuiangalia punde, jamaa wanjua kukiss hadi mtazamaji una feel something, wako vizuri, sasa kutana na mbongo hilo domo anavyokupa, wakati wenzao wanacheza na lips. kisses za kibongo ni kero bora ugegede tu mbele kwa mbele.
nimezungumzia hiyo muvi, (kwa wazungu) sina demu wa kizungu, ila ninaye mwarabu.3e una demu mzungu at
hahahaha hii ni kweli kabisa, mi nilikutwa mape, nimetongozwa na mchepuko nami nikautamani, uku na uku nakamwomba kisi, yelewiiii nilitaka kuzimia kama si kutapika, alikua ananimeza na kunipakaa mate tu... kaaa na ako ka msemo kako ndoa ako ako nami nilimgonga nako, toka pale nilibaki njia kuu.Kwa wanawake na wanaume, wote msikie,
Kuna baadhi yenu mnatamani kuwa na relationship nzuri, lakini tatizo hata kissing tu ni shida. Mtafeli! Unakiss na mtu ana vurugu utadhani anapalilia migomba, haieleweki anafanya nini, hadi ukitoka hapo unapitia dukani kununua salimia ukajichue lips zote za moto, hoi, nyang'anyang'a.
Jamani naongopa? Hamna watu wa aina hii? Even kissing is a problem, ukipewa kulima lami si ndo utaleta maafa? Kwani kujifunza kissing nayo imekuwa ngumu kama mzaramo kuongea Spanish? Wengine mnakosa na mmekosa wachumba hivihivi kwa kudharau hili, Day 1 tu umepewa kideti unakiss unaruka ruka kama Mabehewa ya Tazara.
Mdada wa watu anaona mmmh! Hiki kimbembe, siku ya kukupa jibu Anakwambia,''sorry, I think I am rushing into this relationship, I need time to be alone'' kumbe umeharibu mwenyewe kaogopa tu kusema hujui kubusu maana akikwambia utampiga makofi na wengine mtaanza kutukana bure lakini habari ndo hiyo, utapigaje busu kama unapigana vita vya Maumau.
pole sana, ungeenda kuwekewa P.O.P la lipsi mbona hatare, aya endelea kujifunza kwa wengine.Asikwambie mtu!!! Ukikutana na mtu hasiyejua kukiss utajuta.!! Kuna mkaka aliwai nikisss niliumwa lips wiki nzima. Yaani alikua anang'ata ile mbaya. Unamsukumiza lakini wapi! Aisee nilikoma. Yaani kiss tu ilinikimbiza
Pole utakuwa umeshang'atwa mdomo wahi panadol haraka sanaKwa wanawake na wanaume, wote msikie,
Kuna baadhi yenu mnatamani kuwa na relationship nzuri, lakini tatizo hata kissing tu ni shida. Mtafeli! Unakiss na mtu ana vurugu utadhani anapalilia migomba, haieleweki anafanya nini, hadi ukitoka hapo unapitia dukani kununua salimia ukajichue lips zote za moto, hoi, nyang'anyang'a.
Jamani naongopa? Hamna watu wa aina hii? Even kissing is a problem, ukipewa kulima lami si ndo utaleta maafa? Kwani kujifunza kissing nayo imekuwa ngumu kama mzaramo kuongea Spanish? Wengine mnakosa na mmekosa wachumba hivihivi kwa kudharau hili, Day 1 tu umepewa kideti unakiss unaruka ruka kama Mabehewa ya Tazara.
Mdada wa watu anaona mmmh! Hiki kimbembe, siku ya kukupa jibu Anakwambia,''sorry, I think I am rushing into this relationship, I need time to be alone'' kumbe umeharibu mwenyewe kaogopa tu kusema hujui kubusu maana akikwambia utampiga makofi na wengine mtaanza kutukana bure lakini habari ndo hiyo, utapigaje busu kama unapigana vita vya Maumau.
pole sana mkuu, hope umepata funzo maridadi...hahahaha hii ni kweli kabisa, mi nilikutwa mape, nimetongozwa na mchepuko nami nikautamani, uku na uku nakamwomba kisi, yelewiiii nilitaka kuzimia kama si kutapika, alikua ananimeza na kunipakaa mate tu... kaaa na ako ka msemo kako ndoa ako ako nami nilimgonga nako, toka pale nilibaki njia kuu.
Walaaa mkuuu unanisingizia mieeNaww umepitia mengi sn
Hujala mate ya watu wengi?!Walaaa mkuuu unanisingizia miee