Kuna Michango mingi sana iliitishwa, wewe binafsi ulichangia kiasi gani? na unataka Serikali ilipe kiasi gani? Tuache kulalamikia kila kitu kinachofanywa na serikali
Eti Waliokufa gongo la mboto watapewa milion 8. Walikufa 25. Mawaziri wapo 49 milion 12 wanapokea kila mwezi, milion 8 kama ni baba wa familia itawafanyia nini watoto wake? Tanzania nakupenda kwa moyo wote. Kidumu chama