DEGESWASWA
Member
- Apr 12, 2019
- 86
- 93
Salaam
Nina miaka 22 now na sijawahi jifunza mchezo wa aina yoyote ule katika makuzi yangu hadi muda huu
Dhumuni kuu la kuleta uzi huu kwenu ni kutaka kujua vitu vingi na vichache pia toka kwenu wabobezi na wataalamu wa mchezo huu wa kikapu Kama sheria, kanuni na taratibu pia zenye kutumika ktk mchezo huu kama tunavyo jua nw days mambo yalivyo rahisi kwenye kujifunza vitu mbalimbali kupitia mtandao, Sasa kwa yeyote aliyewiwa kunijenga kwa kutoa sehemu yake ya maarifa kuhusu hiki basi anakaribishwa kushare na mimi chochote
Urefu wangu 5.7'
FUNGUKA HAPA
Nina miaka 22 now na sijawahi jifunza mchezo wa aina yoyote ule katika makuzi yangu hadi muda huu
Dhumuni kuu la kuleta uzi huu kwenu ni kutaka kujua vitu vingi na vichache pia toka kwenu wabobezi na wataalamu wa mchezo huu wa kikapu Kama sheria, kanuni na taratibu pia zenye kutumika ktk mchezo huu kama tunavyo jua nw days mambo yalivyo rahisi kwenye kujifunza vitu mbalimbali kupitia mtandao, Sasa kwa yeyote aliyewiwa kunijenga kwa kutoa sehemu yake ya maarifa kuhusu hiki basi anakaribishwa kushare na mimi chochote
Urefu wangu 5.7'
FUNGUKA HAPA