Madela Wa- Madilu
JF-Expert Member
- Mar 24, 2007
- 3,062
- 731
Angalia usomi usikufumbe macho, I am not a lawyer and I am not talking legalese in case you are confusing my simple english with technical terms
Look up the word precedent
http://dictionary.reference.com/browse/precedent
Sio lazima kuwe na hukumu au tume iwe mahakama, hii tabia inaweza kuwa justified kwa sababu hii kamati ingawa si mahakama, ina nguvu za kimahakama ndiyo maana imeweza kuwahoji watu katika kiapo.Ni kamati ya bunge for gods sake, kamati ya watu wanaotunga sheria yenye nguvu za kimahakama!
Second, the word is rebuttal not rebattle.Ninaongelea ripoti kutompa nafasi Lowassa kujibu implications zilizomo katika ripoti hiyo kwamba Lowassa amehusika.Lowassa probably did not choose the confrontational route because he knows he is guilty, and he needed to save face, thus the front that he was not given a chance to clear himself.Understand that I am not advocating on Lowassas side, I am merely pointing out the weakness of Mwakyembe's prosecution that the report itself, which is supposed to contain solid facts, did not take the time to question Lowassa and get his of the story and legally speaking it is very much unbalanced.Kuna law and legalese (unachoongea wewe complete with Latin Maxims, halafu kuna "the spirit of the law" haya ni mambo yanayo transcend law na legalese na kwenda kwenye concept nzima ya rule of law, due process na fairness.Hata Mwalimu mkuu (ambaye si mahakama wala tume ya bunge) hawezi kuhukumu kesi ya wanafunzi waili kwa haki ikiwa kama hajamsikiliza mmoja, no matter the evidence presented.Ama sivyo itakuwa kulazimisha mambo tu.
Ukiiangalia hii move katika spirit ya rule of law Lowassa ana point.Ukiangalia justice utaona kufuata sheria kungeweza kutishia justice, Mwakyembe amemuonyesha Lowassa how the west was won gangsta style.
Kuna watu wanaoangalia mambo juu juu na kuwa swept na euphoria of the moment.Watu kama hawa ndiyo walipimgia kura Bush aende Iraq bila kusoma Patriot Act na leo wanajilaumu.
It happenned, this is good for the country.What would have been better for the rule of law is if Lowassa would have had a chance to present his case to the Mwakyembe committee before it was presented to parliament.This a simple matter of due process and rule of law, that every accused deserves a hearing.Lowassa did not get a chance to supposedly clarify himself.
So lets stop kidding ourselves kwamba Mwakyembe did things A-OK, because he did not!
so, u think lowassa resigned because of bunge tume////
homework find out jk role since oct 2007, when lowassa was officially done.
also find out who paid 3.5 million usd to the us embassy to acquire that marine house along chole drive and what the cia wrote to jk. karibu mca isimamishwe kwa mambo ya el.
so this saga has so many angles.
Mwakyembe anajua kudeal na watu wenye kuvimbisha vichwa kama Lowassa.
Kama una deal na watu wasiofuata utaratibu ukifuata utaratibu umekwisha. Urahisi na uhalali wa kudeal na watu hao ni kufuata njia wanazotumia wao kuwafanya watu wengine wajinga.
By pass them.
Hiyo rule of law unayoiongelea ni ipi?
"Ukiangalia justice utaona kufuata sheria kungeweza kutishia justice"
Hii sentensi imeshindwa kabisa kupanda ngazi kwenda upstairs
Nielimishe una maana gani?
Kama una deal na watu wasiofuata utaratibu ukifuata utaratibu umekwisha. Urahisi na uhalali wa kudeal na watu hao ni kufuata njia wanazotumia wao kuwafanya watu wengine wajinga.
bugurunikwamnyamani
Naona JF kama kawaida yetu tumeingia na vigele gele wakati ukweli ni kuwa MWAKYEMBE kama mwanasheria anajua fika kuwa kulikuwa na umuhimu wa kumhoji mtuhumiwa mkuu katika hili skendo bwana LOWASSA lakini hakufanya hivyo
Huu si uzushi wala nini na LOWASSA mwenyewe alisema hilo katika hotuba yake
sasa guys lets take a back seat and look at huyu MWAKYEMBE na kamati yake walikuwa wanajaribu kuficha nini ? huwezi kuendesha mambo haya based on emotions na kwangu naamini kuwa one is innocent till proved otherwise na in this case Lowassa hakutendewa haki. Simpendi na sina ulazima wa kumpenda lakini haki yake mpeni
so, u think lowassa resigned because of bunge tume////
homework find out jk role since oct 2007, when lowassa was officially done.
also find out who paid 3.5 million usd to the us embassy to acquire that marine house along chole drive and what the cia wrote to jk. karibu mca isimamishwe kwa mambo ya el.
so this saga has so many angles.
Mzee said Mamwindi aliyemuua Dr. Kyaruu na kujisamisha yeye na silaha alotumia?... na kwa nini walimnyonga hali ujasiri wa kukubali makosa unapongezwa bungeni!...
hayo ndiyo majibu ya LOWASA
mwakyembe hajaeleza kwa nini hakumhoji huyu mtuhuimiwa mkuu na hiyo ni fault
kama unazo barua weka na si kutishia