Karibu Arusha lakini mitaa hiyo ukijipindua kidogo tu...... Karibu mkuu lakini umechelewa kutoa taarifa ningeorganise tuje tukujulie hali lakini next time mkuu.
mnh kimya kimya vip unaogopa onana na wana jf wenzio.................unaondoka na basi gani tukuibukie hapo hapo stendi mradi tupeane mkono wa kheeri tu
mnh kimya kimya vip unaogopa onana na wana jf wenzio.................unaondoka na basi gani tukuibukie hapo hapo stendi mradi tupeane mkono wa kheeri tu