....in a second "NDULI IDD AMIN"

....in a second "NDULI IDD AMIN"

kufakunesa

Member
Joined
Jul 29, 2011
Posts
13
Reaction score
1
Imagine katika msimu huu wa JK, anajitokeza mtu kama NDULI IDD AMIN na kuanza kuishambulia, Tanzania isiyokua na balance ya mafuta, umeme, reli, ndege na meli zimezeeka.

Je wana JF tutafanya nini?
 
Back
Top Bottom