Nina ndugu yangu ni mgonjwa wa akili hataki kunywa dawa ila chakula anakula naweza kumwekea dawa gani kwenye chakula ya usingizi maana usiku anasumbua sana na hospital waliwapa vidonge na yeye hataki kunywa dawa dawa alizokuwa anatumia ni
Diazepam
Phenobarbital
Lorazepam
Sent from my CPH1803 using
JamiiForums mobile app