Waterbender
JF-Expert Member
- Oct 2, 2018
- 6,826
- 8,676
eehhee support iyo kwa maelezo yako niongeze vitu mkuuFuture is the past life of this present
Jr
ngoja nikapitie kidogo
Nina ndugu yangu ni mgonjwa wa akili hataki kunywa dawa ila chakula anakula naweza kumwekea dawa gani kwenye chakula ya usingizi maana usiku anasumbua sana na hospital waliwapa vidonge na yeye hataki kunywa dawa dawa alizokuwa anatumia ni
Nipe msaada kama ni mzoefu sir ngoma
Nipe muda kwenye hiliNina ndugu yangu ni mgonjwa wa akili hataki kunywa dawa ila chakula anakula naweza kumwekea dawa gani kwenye chakula ya usingizi maana usiku anasumbua sana na hospital waliwapa vidonge na yeye hataki kunywa dawa dawa alizokuwa anatumia ni
Diazepam
Phenobarbital
Lorazepam
Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
ndo manake nini?!Future is the past life of this present
Jr
Realm of eternityndo manake nini?!
Safi sana mzee wa ndumba ze akili kubwa 😁😁😁