Naona siku zinazidi kuyoyoma, au ndio uchakachuaji unaendelea kimya kimya?
hapo budget haihusiki,coz paka watangaze nafasi,na idadi ya watu wanaohitajika,ina maana washajua watatekeleza vp! INSHU YA MSINGI NI KUWA WAVUMILIVU,MBONA WAKAGUZI WA ZIMAMOTO WALIKAA MWEZI NA WIKI KARIBIA 2,NDO MAJINA YAKATOKA?had wasme bjet yao ndug
Dah, ni ushauri mzuri lakini bado naumiza kichwa kwani hata wakaguzi wa Zimamoto watu Kama 40 hivi walioitwa kazini hata Interview hawakuitwa, sasa cjui tunaishi ulimwengu upi cc wa madaraja ya chini na vipato vidogo?
izo ajira watakuwa washagawana wenyewe kama zitatangazwa itakuwa niushaidi na kuondoa lawama bora kuangaika sehemu nyingine ushauri tu lakin
hapo budget haihusiki,coz paka watangaze nafasi,na idadi ya watu wanaohitajika,ina maana washajua watatekeleza vp! INSHU YA MSINGI NI KUWA WAVUMILIVU,MBONA WAKAGUZI WA ZIMAMOTO WALIKAA MWEZI NA WIKI KARIBIA 2,NDO MAJINA YAKATOKA?
Ni kweli usemavyo,walikuwa wanasubiri ongezeko la bajeti ili wajue wataajiri wafanya kazi kias gani na ongezeko la posho,ila sikulazimish kukubali.
Naona siku zinazidi kuyoyoma, au ndio uchakachuaji unaendelea kimya kimya?
Naona siku zinazidi kuyoyoma, au ndio uchakachuaji unaendelea kimya kimya?