Imewahi kukutokea hii??

Imewahi kukutokea hii??

Ukiona mwanaume anatongoza tongoza sana wanawake kama jogoo la mzee Kifaruhande linavyomiliki mtetea wote mtaa mzima, basi ujue mwanaume huyo hajui anataka nini kwa mwanamke!!
hapa inabidi nishangae kidogo hivi kuna mwanaume asiejua anataka nin toka kwa mwanamke mkuu???
 
hapa inabidi nishangae kidogo hivi kuna mwanaume asiejua anataka nin toka kwa mwanamke mkuu???

Wapo kaka...kuna rafiki yangu mmoja hivi alikuwa ana tabia ya kumtokea kila mwanamke anayedhani ni mzuri kwake.
Mbaya zaidi kuna wakati anaweza hata kuwatongoza wanawake wawili hadi watatu wanaofahamiana...ilifika mahali wanawake wakawa wanamchora tu.
 
Wapo kaka...kuna rafiki yangu mmoja hivi alikuwa ana tabia ya kumtokea kila mwanamke anayedhani ni mzuri kwake.
Mbaya zaidi kuna wakati anaweza hata kuwatongoza wanawake wawili hadi watatu wanaofahamiana...ilifika mahali wanawake wakawa wanamchora tu.
Hahahahaha umenikumbusha mtu wa design hiyo niliwahi hadithiwa na rafiki yangu yeye alikua anarudia hata aliowahi watongoza na wengine namba zao za simu anazo akiwaona anataka zichukua tena....sio naniliu yule wa MU..LOL...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom