Mkeshahoi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2009
- 2,469
- 281
wadau,
Niliona mchungaji flani anaalkia wanandoa katika chakula cha jioni(kinalipiwa, si bure) kwa ajili kutoa elimu kuhusu ndoa. yeye kama yeye kaachika!!
hivi inaingia aikilini kupewa ushauri na nasaha za kuishi vema katika ndoa yenu na mtu ambaye yeye mwenyewe kaachika/hayupo ktk ndoa?!?!
Ni sahihi kulipia elimu hiyo(kupitia chakula) amabayo inaendeshwa na mtu wa kanisa??
Binafsi hainikai akili hata kidogo!!!!:embarrassed1:
Niliona mchungaji flani anaalkia wanandoa katika chakula cha jioni(kinalipiwa, si bure) kwa ajili kutoa elimu kuhusu ndoa. yeye kama yeye kaachika!!
hivi inaingia aikilini kupewa ushauri na nasaha za kuishi vema katika ndoa yenu na mtu ambaye yeye mwenyewe kaachika/hayupo ktk ndoa?!?!
Ni sahihi kulipia elimu hiyo(kupitia chakula) amabayo inaendeshwa na mtu wa kanisa??
Binafsi hainikai akili hata kidogo!!!!:embarrassed1: