Imeshafikia hatua ya kuwakusanya watoto kwenye mikutano

Imeshafikia hatua ya kuwakusanya watoto kwenye mikutano

HORSE POWER

JF-Expert Member
Joined
Feb 22, 2015
Posts
2,328
Reaction score
1,666
Ama kweli hamkani si shwari kwa Chama Cha Majizi.Wenye kujitambua hawana muda wa kusogea kwenye 'maonyesho' yao.

Zoa zoa na kusanya kusanya kwengineko kujaza mikutano sasa inakwenda mbali zaidi.Sasa ni kukusanya na wanafunzi kujaza mikutano bila ya kujali ni Jumapili au likizo.Nimejionea mwenyewe leo Dodoma.

Ama kweli hamkani si shwari.
 
Huyu bibi limbukeni mpk anajipiga selfie mkutanoni. Nani aende kumsikiliza?
 
Kwakweli leo hapa Dodoma walijaa watoto wa shule na mabasi pamoja na coaster zilizotumika kusomba watu.
 
Back
Top Bottom